Duh hiyo msataili uliyokuja nayo ni ya aina yake. Naona ulishajikaribisha mwenyewe. Yaani umeingia kwenye nyumba ya watu bila hodi, umekula chakula, umekunywa maji halafu baadaye ndio unabisha hodi? Hii sijawahi kuona. tehtehtehtehteh!!!!!!!!!! hii kali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.