Hii picha ni kutoka gazeti la majira... ambayo nafikiri ipo sawa....hii ya chini sasa
\
Hii picha imetoka gazeti la mwananchi....yapo mabo ya kujiuliza hapa... ni kweli hawa watu walikuwa wanasalimiana kwa mikono ya kushoto? kama ndio...kwa nini? kama picha imechezewa.....wahariri wa wa gazeti la Mwananchi walikuwa na maana gani?? nisaidieni.....