Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba

huyu dada anachukulia watu simple humu kwa kazi ya kuajiriwa, nchi bado haina fursa hii, siku akifunguka ataelewa, unajua whatsapp zuckerberg alinunua kiasi gani? kutoka kwa nani? kama mtu hafai leo haimaanishi kuwa hafai kesho

Hahahaaaaa dada tena? Mie nimekaa pembeni tu wala simsemeshi chochote maana naona tutakesha.
 
Na mimi ni muungwana na wazazi wangu ni waungwana wamenilea vema. Sikutukani. Kwani msemo wa waungwana ni kuwa usibishane na mpumbavu kwa sababu werevu hawataona tofauti

Huna jipya,
Una masters; familia yenu maisha bora, unaendesha gari zuri sana.Ila akili zako hazina akili lazima utakua fisadi.
Kama huna matusi zile dash dash juu zilikua salam?
 
DOMO ATAKUWA SIO MTANZANIA....ile ni tabia ya kishirikina...ametusaliti watanzania nasi tunamgeuzia kisogo..blood basket
 
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.

mombasa international cultural show

11951267_929385937119753_3062889442129845113_n.jpg


11889531_929385720453108_7819237923105450362_n.jpg


11200613_929385863786427_6744465269152772902_n.jpg


11870706_929385973786416_5673172001337229471_n.jpg

11885069_929386090453071_8312141807404973420_n.jpg

11949393_929386257119721_4171444741019883303_n.jpg

11951095_929388817119465_6990205416308978233_n.jpg


11885362_929386617119685_3472016522078928772_n.jpg


11902503_929386830452997_5654316464144881396_n.jpg

11904728_929386910452989_5558821713420274580_n.jpg


11949508_929387827119564_5645258432663235970_n.jpg


11949345_929388677119479_1690771532952818778_n.jpg


11222246_929388657119481_7868135566128506865_n.jpg


11890992_929388340452846_1518596814911270629_n.jpg

11887889_929388303786183_5975618357342366969_n.jpg


11885205_928801850511495_5587102047810225897_n.jpg


FRENCH VISITORS
11951412_928800583844955_1610035163210013638_n.jpg


11949539_928799267178420_6126901425214376530_n.jpg

11891082_928799530511727_6096663331532491932_n.jpg


11898645_928800450511635_3292881746319068603_n.jpg


11892242_928801050511575_834585581622412148_n.jpg


11037057_928799600511720_122398398095215_n.jpg

11903787_928801563844857_8911848817865895402_n.jpg


11902520_928801813844832_3624477041388849001_n.jpg


11898592_928279480563732_3789259730598796289_n.jpg


11900061_926875887370758_1174432488107985197_n.jpg

11059699_926874970704183_3575091826686119628_n.jpg

MSTAHIKI GAVANA WA MOMBASA BW. JOHO

11873750_926876400704040_7179823690744320636_n.jpg


11899765_926874630704217_8358208773604755616_n.jpg

11917771_926874794037534_8826226777941142938_n.jpg

11923244_926874640704216_7350946613399114220_n.jpg
 
Asante sana mkuu waltham kwa picha.
Hadi nimetamani jinsi wenzetu wanavyojua kutunza na kuenzi tamaduni zao.
Hii nchi yetu iliyooza hata vazi la taifa tu limetushinda!
 
Last edited by a moderator:
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.

utakufa Siku si zako
 
Diamond na Benjamin Mkapa wana tarizo linalofana, Mkapa kasitiriwa aibu na Mramba sasa huyu domo chapati sijui katombewa na nani?

Matola eeeh! acha kuzingua ndugu...ulidai NIKUWEKEE LINKS ZA AWARDS ZA KIBA NIKAKUWEKEA LAKINI HAMNA ATA LINK MOJA ULIYOATTACH KWENYE POST YAKO YA ALIKIBA'S FANS...VIP MBONA UNAZINGUA SASA NA UTAMBUE MUDA WA KUVOTE KWA "AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS" UMEKWISHA MAANA IMEBAKI WIKI MOJA TU (SIKU 7)...WASITISHE KUPOKEA KURA THEN TUZO ZITATOLEWA TAREHE 5-SEPTEMBER HIVYO NAKUOMBA TENA UKAWEKE LINK YA HIZO AWARDS KWENYE POST YAKO YA KIBA MAANA WEWE NDO ADMIN KWENYE ILE THREAD NINGEKUWA MIMI NDO MWANZILISHI NINGESHAWEKA ZAMANI SANA...ACHA KUZINGUA NIMECHOKA KUKUPIGIA KELELE NDUGU.MATOLA KWANINI HUELEWI???

#MUHIMU
TUZO ZA "AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS"...Mwisho wa kupigia kura kwa msanii wako unaompenda ni tarehe-31 mwezi huu,hivyo washabiki na wapenda muziki wa ALIKIBA twende tukampigie kura ALIKIBA KWENYE KIPENGELE CHA "BEST NEW ARTISTE OF THE YEAR" kwenye link hii:https://www.surveymonkey.com/r/?sm=19h99DtilvZwuwcMWI4cjVBFk/HuQm3NyL77Io2hHP0=

TUFANYE HIVYO WOTE KWA PAMOJA TENA MARA NYINGI TUWEZAVYO MAANA HAKUNA KIWANGO CHA MWISHO CHA KURA ILI ALIKIBA NAYE AWEZE KUBEBA TUZO HIYO!
☆ASANTENI NA TUNAKUMBUSHANA TU WAUNGWANA...
 
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.

Jamani tusiishie tu kumpongeza #ALIKIBA bali tukumbuke na kumpigia kura kwenye tuzo za "AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS" kwenye kipengele cha "BEST NEW ARTISTE OF THE YEAR"...ambazo imebaki wiki moja tu wafunge dirisha la upigaji kura na tuzo zitatolewa tarehe 5 September!
Screenshot_2015-08-24-17-41-06.png

LINK YA KUPIGA KURA HII APA:https://www.surveymonkey.com/r/?sm=19h99DtilvZwuwcMWI4cjVBFk/HuQm3NyL77Io2hHP0=

☆Kwa mashabiki wote wa #ALIKIBA na wote wanaopenda muziki wake tukumbuke kumpigia kura hapo ili aweze kupata TUZO HIYO!
 
Jamani tusiishie tu kumpongeza #ALIKIBA bali tukumbuke na kumpigia kura kwenye tuzo za "AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS" kwenye kipengele cha "BEST NEW ARTISTE OF THE YEAR"...ambazo imebaki wiki moja tu wafunge dirisha la upigaji kura na tuzo zitatolewa tarehe 5 September!
View attachment 280001

LINK YA KUPIGA KURA HII APA:https://www.surveymonkey.com/r/?sm=19h99DtilvZwuwcMWI4cjVBFk/HuQm3NyL77Io2hHP0=

☆Kwa mashabiki wote wa #ALIKIBA na wote wanaopenda muziki wake tukumbuke kumpigia kura hapo ili aweze kupata TUZO HIYO!

Ni kweli mkuu Pionaire lakini panapostahili pongezi tumpe.
Kafanya poa ndio maana tunampongeza namna hii.
Ngoja nipige kura sasa hivi.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mkuu Pionaire lakini panapostahili pongezi tumpe.
Kafanya poa ndio maana tunampongeza namna hii.
Ngoja nipige kura sasa hivi.

Yah!...ni kweli ata mie nampongeza nifah lakini mimi nilikuwa nafahamu wazi kuwa kiba hawezi fanya upuuzi kama waliofanya wasanii wenzake!
#EDWARDLOWASSA FOR PRESIDENCY-2015
 
Magufuli ni kiongozi anayependwa na Watanzania wengi sana, mapenzi yao yametokana na uhodari na uchapakazi wake. Kutohudhuria kwa baadhi ya wasanii kumetokana na kupatwa na dharura za kifamilia na wala siyo kutokua na mapenzi na CCM. asingekua na mapenzi na CCM asingeweza kutunga wimbo wa kumsifia CCM na Magufuli bila kuambiwa na bila kulipwa senti hata moja.

Nami nakushauri uungane na kipenzi chako Ally Kiba kwenye harakati za kumpeleka ikulu mchapakazi wetu Rais Magufuli.
#hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom