Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 32,091
- 67,869
- Thread starter
- #281
huyu dada anachukulia watu simple humu kwa kazi ya kuajiriwa, nchi bado haina fursa hii, siku akifunguka ataelewa, unajua whatsapp zuckerberg alinunua kiasi gani? kutoka kwa nani? kama mtu hafai leo haimaanishi kuwa hafai kesho
Hahahaaaaa dada tena? Mie nimekaa pembeni tu wala simsemeshi chochote maana naona tutakesha.