Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Hii nayo ni kali kuliko, kweli dunia haishi vituko. Ukistaajabu ya TZ Utayaona ya Moroco. Wahitimu wasio na ajira wameanza kujilipua kwa petroli huko Moroco kwa sababu ya kukosa ajira. Wananafanya hivyo kuonyesha hasira kwa serikali yao. Hii si habari ya kuchekesha japo unaweza kucheka. Tusubiri Bongo tu sasa.. Nimeiona TBC taarifa ya habari.