Hapo ndio watanzania tutalia maana kwenye kampeni tutarajie kutumika kwa rasilimali za Serikali.Hapo hajachukua fomu ya kugombea urais, akichukua je?
Zina ghalamiwa nanani?
hv mbona gari katumia ya serikali kwani hiyo ilikuwa ziara ya kiserikali au naona vibaya iyo NAMBA YA GARI
Hapo ndio watanzania tutalia maana kwenye kampeni tutarajie kutumika kwa rasilimali za Serikali.
Mkuu umenichekesha mno! Kweli utakuta muuandaji wa shughuli yote ni yeye mwenyewe..Lakini huu ujinga na upumbavu utaisha lini Watanzania?? Matumizi ya pesa kwa shughuli za kijinga kama hizi sasa sherehe ya nini au ndio kusherehekea ulaji umewadia..Mimi binafsi huwa sioni sababu ya watu kufanya sherehe kuuuuuuuuuuuuubwa eti kashinda udiwani uenyekiti ubungu nakazalika..Hii nchi sijui itajitambua lini???Hii inanikumbusha pale unapo Kuwa na Sherehe Nyumbani kwako my be ya Kuzaliwa kwako, kuanzia asubuhi unapiga kazi mwenyewe, unapika and then jioni unaoga na kukaa sasa uhudumiwe chakula na vinywaji ulivyo andaa mwenyewe, Ndo haya ya Tibaijuka, hapo kila kitu amendaa mwenyewe na usikute yeye ndo mwenyekiti wa kamati ya kumpokea yeye
Hii inanikumbusha pale unapo Kuwa na Sherehe Nyumbani kwako my be ya Kuzaliwa kwako, kuanzia asubuhi unapiga kazi mwenyewe, unapika and then jioni unaoga na kukaa sasa uhudumiwe chakula na vinywaji ulivyo andaa mwenyewe, Ndo haya ya Tibaijuka, hapo kila kitu amendaa mwenyewe na usikute yeye ndo mwenyekiti wa kamati ya kumpokea yeye
Hizi ni baadhi ya picha za Sherehe ya mapokezi ya Prof. Anna Tibaijuka akipongezwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM (TAIFA) NEC.
View attachment 86471View attachment 86472View attachment 86473View attachment 86474View attachment 86475View attachment 86476View attachment 86477View attachment 86479View attachment 86480
MNANIKUMBUSHA MBALIII -----MULEBA KWENYE VITANDA VILIVYOTANDIKWA MIPIRA teheheheheheheh!Hii ni kashifa kubwa sana haiwezekani sisi tulipe kodi kununua gari na kumwekea waziri mafuta yeye anatumia kwa shughuli za kichama
I think tibaijuka should answer this to the Parliament
Copy to Nape Nnauye, Etc
Asante kwa matusi ndugu yangu..! Naona unanitusi badala ya kunishukuru kwa ushauriHaya ndi madhara yakukosa busara Hii ni typing error mkuu!
Ujumbe nadhani umekufikia vizuri kabisa maana umephrase vilivyo!
​ziara ya m4c imentisha huyo mama wa kihaya