Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Naunga mkono bei kupandishwa ili na wengjne nao wapate umeme, tulikuwa only 10% Now we need to go 30%. Sasa haiwezekani kufanya hivyo kwa ruzuku ya serikali.
Duh! Mko wengi kumbe? Hivi ni kupandisha umeme au serikali, wadaiwa wakuu wa umeme na wale wakubwa wengine kulipa madeni yao? Umeshajua Tanesco inadai watu na hawajalipa na umeme wanatumia?