Kushinda uchaguzi ni mbinu tu- JK
Lazima mkubali kadari za Mola.
Kama aliweza kumuumba atashindwaje kumchukua. Tunaamini kila kilichoumbwa basi lazima kitakufa.
Na yeye ametangulia sisi tupo nyuma yake. Ni vizuri kumuombea kwa Mola amlaze pahala panapostahikhi na sio kutafutana uchawi.
Huyu aliwezaje kuupata ubunge above Regia beats me...........a hooligang by all standards
Huyu aliyetangazwa mshindi nilishawahi kusoma mahojiano yake kwenye gazeti mojawapo la kila jumatanoAlichakachuliwa huyu Kumbe aikuwa na kura nyingi namna hiyo.
Wana JF tumuombee Regia aende Salama na akapumzike kwa amani
tusiingize mambo ya ushirikina jamani tuamini kwamba Mungu ndie ajuaye katika maamuzi yake,Tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi
kaka swala c waafrika tu bali ata kwa wazungu uchawi upoooooooMwalimu kumbuka sisi ni waafrika !
Ukisoma sana mitandao unaweza kuwehuka. Niliwahi soma comment ya rafiki mmoja wa Regia kwenye FB yake ikisema kuwa anamkwepa huyu bwana kwani ni Gwiji