Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
umesemakwa kweli ninapata utata sana ninapotafakari mazingira ya ajali ya dada regia..... A. Kipande cha barabara kablaya ruvu darajani kimenyooka sana na hasa kama unatokea dsm unaona magari hata yaliyo mbali kwani uko mlimani....ilikuwaje aovateki ilihali kuna gari linakuja? kwa wanaosoma maandiko na kuyatafakari katikati ya mistari.... gari lilibingirika mara 7 na kumwacha ubongo wazi... Rejea logic ya kiimani iliyo katika namba 3 na 7 mazingira baada ya ajali eti alifariki dunia peke yake? kesi yake ya kupinga ubunge ilikuwa pazuri na pengine kumweka pabaya mbunge wa sasa kwani pamoja na mengi alimkashifu majukwaani kuwa ni kiwete hataweza kuongoza! Upon udhibitisho wa hili jamaa angejifutia milele kibali cha kugombea..... Tumeona ya shelembi, halafu sasa regia.....