Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

hzo siyo coz muhimu bali ni coz zenye maslahi mazuri kwa muhusika kwa imani ya sasa kama umuhmu kila cozi muhmu ila kama unashndanisha umuhmu wa coz nadhan ktk top 5 huwezi kuiacha education sabab zngne zote zamtegemea yy.najua wa2 wataxema natetea kwakuwa mimi ni mfuasi wa education hapana mi naxoma food sc. wandugu
 
mtu yoyote anaweza akafundisha so EDUCATION sio muhimu mtu mwenye degree ya ENGINEERING anaweza kufundisha physics,chemistry na maths,mtu mwenye degree ya MEDICINE anaweza kufundisha chemistry na biology so degree ya EDUCATION sio ya muhimu

Umenena mkuu!
 
Sio kila mtu anaweza kufundisha, acheni dharau.
Kama ni hivyo msingekuwa mnapeleka watoto shule. Mngewafungia huko kwenu mfundishe wenyewe kwasababu mmesoma engineering na medicine.
Taaluma ya uwalimu ni muhimu. Wale ndio wanatushape na mara nyingi kusaidia kugundua passion ya mtoto.
 
Ukiona mtu anadharau ualimu basi maisha yake ya shule hayakuwa sawasawa.
Pengine mwalimu hakuwa anaingia darasani na hata akiingia basi hakuwa anafanya kazi yake vizuri.
Mimi ninaheshimu sana walimu wangu wote na kuheshimu taaluma yao.
Kuna maarifa ambayo naamini bila wao nisingeweza kuyapata.

Na isisahaulike hata hizo taaluma nyingine zimepitia kwenye mikono ya walimu wa madaraja mbalimbali.
 
kozi muhimu kuliko zote duniani ni 1.BIASHARA .
kwani hata nchi inafanya biashara.Hakuna nchi inayofanya kazi ktk nnchi ingine.
Pia, tajiri wa 1 duniani sii mfanyakazi.ni mfanya biashara.
So hii ndio kozi bora duniani na yakwanza.
 
kozi muhimu kuliko zote duniani ni 1.biashara .
Kwani hata nnchi inafanya biashara.hakuna nnchi inayofanya kazi ktk nnchi ingine.
Pia, tajiri wa 1 duniani sii mfanyakazi.ni mfanya biashara.
So hii ndio fani bora duniani na yakwanza.

economics&accounting
 
Back
Top Bottom