Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Baadhi wanaishi Ubungo Plaza ambako gharama ni dola za Marekani 105 kwa siku wengine wanaishi Protea ambako kwa siku ni kati ya dola za Marekani 155 na 180.
Sababu wanazotoa,
1. Nyumba walizopangiwa bado zinafanyiwa ukarabati
2. Nyumba walizopangiwa bado zinakaliwa na mawaziri waliomaliza muda wao
3. Nyumba za mawaziri zina masharti mengi ikiwemo kutolima bustani na kuweka mifugo(kwani huko mahotelini wanaruhusiwa kuweka mifugo?)
4. Nyumba walizopangiwa ni ndogo n.k nk.
Swali langu; ni kwanini mawaziri wakose uzalendo kiasi hiki kwa kuridhia matumizi makubwa wakati wengine wana nyumba zaidi ya mbili hapo hapo Dar?
Na kwa nini serikali iendelee kupoteza mamilioni kwa siku pasipo na sababu za msingi haioni kuwa hayo pia ni matumizi mabaya ya kipato cha Taifa.
Inauma na inakera sana kuona vitendo hivi vinafanywa na viongozi wa nchi masikini kama Tanzania ilhali serikali ikiangalia, tuseme wao si sehemu ya jamii kuwa kubana matumizi ni kwa watu wa kipato cha chini tu wao haiwahusu.
Soma zaidi Nipashe Jumapili Home
Sababu wanazotoa,
1. Nyumba walizopangiwa bado zinafanyiwa ukarabati
2. Nyumba walizopangiwa bado zinakaliwa na mawaziri waliomaliza muda wao
3. Nyumba za mawaziri zina masharti mengi ikiwemo kutolima bustani na kuweka mifugo(kwani huko mahotelini wanaruhusiwa kuweka mifugo?)
4. Nyumba walizopangiwa ni ndogo n.k nk.
Swali langu; ni kwanini mawaziri wakose uzalendo kiasi hiki kwa kuridhia matumizi makubwa wakati wengine wana nyumba zaidi ya mbili hapo hapo Dar?
Na kwa nini serikali iendelee kupoteza mamilioni kwa siku pasipo na sababu za msingi haioni kuwa hayo pia ni matumizi mabaya ya kipato cha Taifa.
Inauma na inakera sana kuona vitendo hivi vinafanywa na viongozi wa nchi masikini kama Tanzania ilhali serikali ikiangalia, tuseme wao si sehemu ya jamii kuwa kubana matumizi ni kwa watu wa kipato cha chini tu wao haiwahusu.
Soma zaidi Nipashe Jumapili Home