Kwa Tofauti hizi za gharama za uwanja wa Mkapa na Samia, kuna haja ya Maslahi ya Watumishi kuangaliwa upya

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
449
1,009
Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa

Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia

Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .
IMG-20240322-WA0072.jpg
 
Bilioni 280 zinajenga barabara ya moro- dar kilometa 190, kwa gharama ya bilioni kwa kilomita, na chenji inabaki, hakuna haja ya PPP. Hiyo foleni ya ajabu ajabu kwisha kabisa, kwa maslahi ya watu milioni 60, sio kikundi cha watu 30,000 kinachojikusanya kwa mwezi mmoja
 
Wengi wanaolalamikia gharama za huu uwanja wanatumia hisia kuliko factual analysis. 15 years ni muda mrefu kwa teknolojia, standard za uwanja kubadilika.

Mfano, Uwanja Mpya wa Alasaine Ouattara, umejengwa kwa Bilion takribani 600. Hiki ni 60,000 seaters vs Arusha 30,000 seaters. Na kwa kuwa vyote ni AFCON Modern Standards, it's logical hicho cha Arusha, kucost about half of alasaine's.
 
Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa

Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia

Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .View attachment 2941817
Hii tofauti ni kubwa sana hata kama huu uwanja (Mkapa) ulijengwa miaka 20 ilyopita..

Ingekuwa unagharimu kati ya 100 na 150b ingeweza kueleweka kwa kigezo cha thamani ya fedha yetu kwa kipimo cha dola ya Marekani kushuka sana..

Lakini kwa gharama hii, I doubt kuwa kuna kuongezwa kwa gharama hapa kama walivyofanya kwenye reli ya SGR..
 
Wengi wanaolalamikia gharama za huu uwanja wanatumia hisia kuliko factual analysis. 15 years ni muda mrefu kwa teknolojia, standard za uwanja kubadilika.

Mfano, Uwanja Mpya wa Alasaine Ouattara, umejengwa kwa Bilion takribani 600. Hiki ni 60,000 seaters vs Arusha 30,000 seaters. Na kwa kuwa vyote ni AFCON Modern Standards, it's logical hicho cha Arusha, kucost about half of alasaine's.
Ndio maana anasema ikiwa kila kitu kimepanda bei, basi maslahi ya wafanyakazi yaangaliwe upya!
 
Hii tofauti ni kubwa sana hata kama huu uwanja (Mkapa) ulijengwa miaka 20 ilyopita..

Ingekuwa unagharimu kati ya 100 na 150b ingeweza kueleweka kwa kigezo cha thamani ya fedha yetu kwa kipimo cha dola ya Marekani kushuka sana..

Lakini kwa gharama hii, I doubt kuwa kuna kuongezwa kwa gharama hapa kama walivyofanya kwenye reli ya SGR..
Kama kuna ongezeko la gharama za maisha basi na watumishi wote hayo maongezeko yawe yanaonekana
 
Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa

Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia

Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .View attachment 2941817
Kwenye mipango yao wanasema gharama zimeongezeka ila kwa maslahi ya Wananchi wanasema Pigeni kazi hakuna mwaka maisha yamekuwa rahisi.
 
Back
Top Bottom