Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,979
- 13,631
Ndg zangu, ni muda sasa nasumbuliwa na tumbo, nimekwenda kwenye vituo vya afya na hospitali pia, kote huko naambiwa nipeleke mavi (choo) wakapime. Kila nikifanya hicho kipimo naambiwa hawajaona tatizo. Hapa napata mashaka, hawa jamaa labda wanatupa hayo mavi/choo kwa sababu ya kinyaa.! Ndg zangu hivi kweli hamna kipimo kingine mpaka mtu abebe mavi/choo kwenye mfuko wake wa suruali au handbag yake? Hivi nchi kama ujerumani,uingereza,ufaransa na hata marekani bado wanatumia teknolojia hii ya kubeba mavi?