muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
kwa awamu 3 tofauti, Zanzibar imetoa wasomi wa hali ya juu ktk siasa za tz hasa ktk nafasi ya makamo wa rais. yaani dk bilali, dk shein na dk Omar Ali Juma(marehemu).
jee hii ni tafsiri gani ktk siasa za tanzania?
jee hii ni tafsiri gani ktk siasa za tanzania?