Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Hakuna aliyekusingizia wewe unadai sina,mimi najua ninayo....ndo nikakuuliza nikasema utakuwa uliitoa wewe.....ukiacha kusingizi nawe hutasingiziwa......siwezi kubali sina wakati ninayo,mambo yasiishe but nasema NINAYO tena ORIGINAL......
Kila mtu ana mamlaka na mwili wake,kuitoa au kubakiza litabaki kuwa suala la mtu binafsi.......:first:
I don't know how i feel reading btn lines!! Inshort Congraturations! I always don't question kama mtu akiniambia anaumwa, ananjaa, ameshiba nk. siokila kitu mtu anaweza prove na sio lazima kuprove, naamini wapo mabikira, kwamba hawapo hizi nipropaganda za kubishana ili mwisho wa siku utake prove! someone can't prove it. Kunajamaa alioa mke bikira sasa watu wengine wanabisha aah muongo huyo it doesnt make sense!! :coffee: