Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Hapa ninapata kigugumizi kujua hasa wazee ambao huwa anaongea nao Mhe. JK ni akina nani, kwani wanaooneka kuongea nao huwa ni wazee wa CCM kwa mtazamo wangu na kwa muonekano wao.
Hebu tusaidieni jamani wenye ufahamu zaidi maana kunakuwa na mkwamo wa mawazo juu ya wazee hawa wa Dar Es Salaam.
Hebu tusaidieni jamani wenye ufahamu zaidi maana kunakuwa na mkwamo wa mawazo juu ya wazee hawa wa Dar Es Salaam.