Hivi ushoga na ufisadi ni kipi hatari kwa maendeleo ya Afrika?

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
Kama tutamia akili za kawaida vizuri bila kujali mashinikizo ya Masengeee wa magharibi walioko madarakani, duniani hakuna haki ya kujiharibu au kujikana kama wanavyofanya mashoga. Kama alivyowahi kusema comrade Mugabe mashoga na wasagaji ni wachafu kuliko nguruwe. Kimsingi hiki kinachofanyika ni ukoloni wa kimila ambapo tunaandaliwa kukubali uchafu huu. Wenzetu wameharibikiwa wanataka nasi tuharibikiwe kama wao. Hayo masenge unayoyaona wakati mwingi usiyalaumu. Kama wanaume kwa kisingizio cha usanii au usupa staa wanaweza kuvaa hereni na kutembea mitako nje kwanini na wengine wasiigize ushoga. Hata hivyo tukiangalia mambo bila makengeza. ushoga hauna madhara makubwa kwa watu wetu kama ufisadi na usanii wa kisiasa. Ushoga ni suala la mtu binafsi kutumia vibaya mwili wake tofauti na watawala wanaotumia raslimali za nchi vibaya. Heri ushoga kuliko ufisadi.
 
Unauliza swali halafu unajijibu mwenyewe, unaukandia ushoga na mashoga halafu mwishoni unaukubali; sasa nini madhumuni ya kuanzisha mjadala huu?
 
Hivi mkuu chagua moja mtu akudhulumu mali zako au akupore mali na akushikishe ukuta kwako wewe ipi poa?
 
Vyote si hatari kwa uchumi Wa Africa, ni hatari kwa maadili na kumiheshimu Mungu.
 
Kama tutamia akili za kawaida vizuri bila kujali mashinikizo ya Masengeee wa magharibi walioko madarakani, duniani hakuna haki ya kujiharibu au kujikana kama wanavyofanya mashoga. Kama alivyowahi kusema comrade Mugabe mashoga na wasagaji ni wachafu kuliko nguruwe. Kimsingi hiki kinachofanyika ni ukoloni wa kimila ambapo tunaandaliwa kukubali uchafu huu. Wenzetu wameharibikiwa wanataka nasi tuharibikiwe kama wao. Hayo masenge unayoyaona wakati mwingi usiyalaumu. Kama wanaume kwa kisingizio cha usanii au usupa staa wanaweza kuvaa hereni na kutembea mitako nje kwanini na wengine wasiigize ushoga. Hata hivyo tukiangalia mambo bila makengeza. ushoga hauna madhara makubwa kwa watu wetu kama ufisadi na usanii wa kisiasa. Ushoga ni suala la mtu binafsi kutumia vibaya mwili wake tofauti na watawala wanaotumia raslimali za nchi vibaya. Heri ushoga kuliko ufisadi.

Duh, sasa tumefika pabaya, unasema hivyo mwanaume au? kazi kweli lweli. LUSINDE type.
 
Hivi mkuu chagua moja mtu akudhulumu mali zako au akupore mali na akushikishe ukuta kwako wewe ipi poa?

Anipore kila kitu nawezavumilia ila ukita, Mh................!!!!!!!!!!!!!??????????????? Ushoga ni mbaya kuliko Kitu kingine chochote.

Tatizo lingine kubwa kwa ushoga ni hii movement inayotaka kuwaelimisha watoto kuwa ni jambo zuri. Ufisadi kama ulivyo ujambazi watoto wanakua wakijua kuwa ufisadi ni kitu kibaya na hata wanapokuwa wakijaribu kufanya wizi na ufisadi mwingine wanafanya wakijua ni makosa.
 
Kama tutamia akili za kawaida vizuri bila kujali mashinikizo ya Masengeee wa magharibi walioko madarakani, duniani hakuna haki ya kujiharibu au kujikana kama wanavyofanya mashoga. Kama alivyowahi kusema comrade Mugabe mashoga na wasagaji ni wachafu kuliko nguruwe. Kimsingi hiki kinachofanyika ni ukoloni wa kimila ambapo tunaandaliwa kukubali uchafu huu. Wenzetu wameharibikiwa wanataka nasi tuharibikiwe kama wao. Hayo masenge unayoyaona wakati mwingi usiyalaumu. Kama wanaume kwa kisingizio cha usanii au usupa staa wanaweza kuvaa hereni na kutembea mitako nje kwanini na wengine wasiigize ushoga. Hata hivyo tukiangalia mambo bila makengeza. ushoga hauna madhara makubwa kwa watu wetu kama ufisadi na usanii wa kisiasa. Ushoga ni suala la mtu binafsi kutumia vibaya mwili wake tofauti na watawala wanaotumia raslimali za nchi vibaya. Heri ushoga kuliko ufisadi.

Mambo yote mawili ni mabaya sana na hatari kwa mtu mmoja-mmoja na kwa taifa pia.
Hapo kwenye red, naona unajaribu kuhalalisha ushoga.

Soma hapa:-

01 Wakorintho 06:09-10 inasema hivi:-
"9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi."

Kumbuka, miji ya Sodoma na Gomora iliangamizwa kwa sababu ya ushoga. Usihalalishe ushoga kwa sababu yoyote ile.
 
Mimi ninadhani mleta mada ni mwana harakati wa mashoga. In short bora taifa lenye ufisadi kuliko lililojaa mashoga.
 
ushoga ni hatari zaidi sababu Mungu anaweza akatulipua kwa moto taifa likabakia majivu lkn ufisadi tunaweza kuumaliza wenyewe kwa kuhakikisha tunapata viongozi waaminifu.
 
Ki kawaida huwa Hatulinganishi vitu visivyo fanana

nadhani umeileta hii Hoja kuhalalisha hisia zako, Ok umeeleweka
 
Inaonekana Tanzania sasa mashoga wamejaa, kwa sababu kila kona ni mada za ushoga, watu na..... Zao wanatetea, wanaona raha kushika ukuta na kubeba wanaume wenzao, achen udhaifu wa mioyo yenu. Mbona wanawake watamu jamani?
 
'wachomwe moto (tena wakiwa hai) adi wafe mashoga na mabasha wote kama mwenyezi Mungu alivyo washushia kipondo cha moto sodoma ma gomora'
 
Vyote vibaya.Tanzania tunapashwa kupinga ushoga kwa nguvu zote.Biblia ni kitabu kinachojitosheleza,hakihitaji reference.Je watu wanajua Sodoma kwa sasa Mashariki ya kati inapatikana wapi?kwa sasa ni Dead Sea,ziwa linalotoa uvundo,Ziwa ambamo haishi kiumbe chochote.Unaweza pia kutandika mkeka juu ya uso wa Ziwa hilo ukalala.Ushoga ni utovu wa nidhamu kwa Mungu wa hali ya juu sana,ni kumvunjia Mungu heshima kupita kiasi
 
Back
Top Bottom