mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kama tutamia akili za kawaida vizuri bila kujali mashinikizo ya Masengeee wa magharibi walioko madarakani, duniani hakuna haki ya kujiharibu au kujikana kama wanavyofanya mashoga. Kama alivyowahi kusema comrade Mugabe mashoga na wasagaji ni wachafu kuliko nguruwe. Kimsingi hiki kinachofanyika ni ukoloni wa kimila ambapo tunaandaliwa kukubali uchafu huu. Wenzetu wameharibikiwa wanataka nasi tuharibikiwe kama wao. Hayo masenge unayoyaona wakati mwingi usiyalaumu. Kama wanaume kwa kisingizio cha usanii au usupa staa wanaweza kuvaa hereni na kutembea mitako nje kwanini na wengine wasiigize ushoga. Hata hivyo tukiangalia mambo bila makengeza. ushoga hauna madhara makubwa kwa watu wetu kama ufisadi na usanii wa kisiasa. Ushoga ni suala la mtu binafsi kutumia vibaya mwili wake tofauti na watawala wanaotumia raslimali za nchi vibaya. Heri ushoga kuliko ufisadi.