Hivi ushabiki wa Blackberry phone uliishia wapi?

binafsi mimi ni mpenzi na shabiki wa NOKIA na BLACKERRY kuliko android ingawa maisha ya kitechnology yananilazimu nimiliki android device.
ujio wa android umepunguza mauzo ya BLACKBERRY kiasi cha kampuni kuelekea kukosa wateja hasa wa hali ya chini. but tukija katika uhalisia BLACBERRY OS ni BORA KULIKO ANDROID hasa katika masuala ya kibiashara na usiri wa docment zako. wengi wa wanaoziponda blackberry hawajawahi kutumia, na kama walitumia basi ni kwa muda mfupi sana kiasi cha kutokuzifikia sifa za BB OS, so kushindwa kukitumia kitu haina maana hakina ubora. kwa mfano, Binafsi sioni kama kuna chatting application kali ktk android inayoizidi BBM na hasa ukiitumia ktk BB OS.

pia Blackberry zilipoingia ilikuwa kuimiliki tuu kunakuongezea heshima maradufu na zilikuwa simu za gharama sana kama ilivyo iphone leo hii, nasema iphone coz kuna watu wako radhi kuichagua tecno huku wakikwambia iphone hawaipendi kisa ngumu kuielewa. hvyo hvyo ndivyo ilivyokuwa kwa BB OS, kutokana na kukalilishana bado watu wanaulizia BlackBerry imepotelea wapi tena bila aibu humu humu ktk huu uzi watu wanasifia Android Device eti bora kuliko Blackberry, labda niwaulize, Blackberry sio Android device? au mna maanisha BlackBerry OS? basi kama ni hvyo, BlackBerry wana Android Device, je mmejaribu kutumia?

huko mbele nawaona Blackberry na Nokia wakija kuchukua nafasi zao hasa baada na wao kuanza kutoa smartphone zenye Android. nasema hvyo kwa maana hawa jamaa bado wanalipwa hela mingi mingi na makampuni hayo ya simu mnayoyaona bora kwa kutumia technology zao kuboresha device zao. mfano, hakuna device zenye mpango bora wa keyboard kama BlackBerry, ukija kwa Nokoa ndio kabisa wakisema wazuie Makampuni mengine yasitumie mautundu yao ujue ni shida.

so blackberry kama device bado wako vizuri sana tuu, ingawa ujio wa android uliwatikisa kidopgo ila nao wameona waingie na huko bila kutoka katika asili yao so ukitaka BlackBerry ya BB OS unapata ukitaka android unapata.

Chanzo cha Yote ni ANDROID kuwaq OS ya BURE, so yeyote mwenye wazo la kuiboresha anakubaliwa, ukiweza kutengeneza device OS unaipata tuu, so ni tofauti na BB wanaoanza kutengeneza Os wao wenyewe na device wao wenyewe.
 
binafsi mimi ni mpenzi na shabiki wa NOKIA na BLACKERRY kuliko android ingawa maisha ya kitechnology yananilazimu nimiliki android device.
ujio wa android umepunguza mauzo ya BLACKBERRY kiasi cha kampuni kuelekea kukosa wateja hasa wa hali ya chini. but tukija katika uhalisia BLACBERRY OS ni BORA KULIKO ANDROID hasa katika masuala ya kibiashara na usiri wa docment zako. wengi wa wanaoziponda blackberry hawajawahi kutumia, na kama walitumia basi ni kwa muda mfupi sana kiasi cha kutokuzifikia sifa za BB OS, so kushindwa kukitumia kitu haina maana hakina ubora. kwa mfano, Binafsi sioni kama kuna chatting application kali ktk android inayoizidi BBM na hasa ukiitumia ktk BB OS.

pia Blackberry zilipoingia ilikuwa kuimiliki tuu kunakuongezea heshima maradufu na zilikuwa simu za gharama sana kama ilivyo iphone leo hii, nasema iphone coz kuna watu wako radhi kuichagua tecno huku wakikwambia iphone hawaipendi kisa ngumu kuielewa. hvyo hvyo ndivyo ilivyokuwa kwa BB OS, kutokana na kukalilishana bado watu wanaulizia BlackBerry imepotelea wapi tena bila aibu humu humu ktk huu uzi watu wanasifia Android Device eti bora kuliko Blackberry, labda niwaulize, Blackberry sio Android device? au mna maanisha BlackBerry OS? basi kama ni hvyo, BlackBerry wana Android Device, je mmejaribu kutumia?

huko mbele nawaona Blackberry na Nokia wakija kuchukua nafasi zao hasa baada na wao kuanza kutoa smartphone zenye Android. nasema hvyo kwa maana hawa jamaa bado wanalipwa hela mingi mingi na makampuni hayo ya simu mnayoyaona bora kwa kutumia technology zao kuboresha device zao. mfano, hakuna device zenye mpango bora wa keyboard kama BlackBerry, ukija kwa Nokoa ndio kabisa wakisema wazuie Makampuni mengine yasitumie mautundu yao ujue ni shida.

so blackberry kama device bado wako vizuri sana tuu, ingawa ujio wa android uliwatikisa kidopgo ila nao wameona waingie na huko bila kutoka katika asili yao so ukitaka BlackBerry ya BB OS unapata ukitaka android unapata.

Chanzo cha Yote ni ANDROID kuwaq OS ya BURE, so yeyote mwenye wazo la kuiboresha anakubaliwa, ukiweza kutengeneza device OS unaipata tuu, so ni tofauti na BB wanaoanza kutengeneza Os wao wenyewe na device wao wenyewe.

http://global.blackberry.com/conten...016_Priv_Overview/priv_details_DeviceLogo.png
 
Hizi kampuni iphone ,blackberry na microsoft zamani nokia ni level nyingine acha kabisa aisee kwa mfano tizama huu mwonekano tu wa mashine yangu hainichoshi kuikodolea macho

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
JtqkuDp.jpg
Uwezo wa ku pin ila kitu kikakaa hapo kwa tiles na pia cortana na utundu mwingine mwingi basi sina haja ya kubaki huku milele ila kwa sasa nasubiri surface
 
Unapolala usiku ukaacha milango wazi mwizi ataingia na kusomba kila kitu kiurahisi lkn unapofunga milango,geti,dirisha haimaanishi hatoweza kuingia ila atapata ugumu,atapoteza muda na ataweza kukata tamaa..hvy hvy kwa Black berry utatumia nguvu nyingi na mwisho wa siku usiweze kufukunyua tofauti na Androids

Kama hujui umuhimu wa privacy ase utakuwa na matatizo

Na hata hiyo iPhone umuhimu wake siyo hiyo uliyoitaja

OS yake ipo secured vigumu kudukuliwa


Ttz wabongo tunapenda vitu vya bei che au virahisi rahisi kutumia vitu complicate hatuzipendi

Third party nini wewe. Unaficha nini akati kila kitu kinaonekana africa hamna usiri. Watu wakitaka kukupekua hata leo hii wanaweza hata utumie sijui black berry gani. Chagua simu kwa ajili ya matumizi sio kwa ajili ya kuficha siri. Ni sawa na lijitu linabishana eti iphon ni nzuri then ukiimuliza uzuri wake anakuambia hata ikiibiwa mtu hawezi kufungua na n.k wakati iphon zinaibiwa mara kadhaa
 
Unapolala usiku ukaacha milango wazi mwizi ataingia na kusomba kila kitu kiurahisi lkn unapofunga milango,geti,dirisha haimaanishi hatoweza kuingia ila atapata ugumu,atapoteza muda na ataweza kukata tamaa..hvy hvy kwa Black berry utatumia nguvu nyingi na mwisho wa siku usiweze kufukunyua tofauti na Androids

Kama hujui umuhimu wa privacy ase utakuwa na matatizo

Na hata hiyo iPhone umuhimu wake siyo hiyo uliyoitaja

OS yake ipo secured vigumu kudukuliwa


Ttz wabongo tunapenda vitu vya bei che au virahisi rahisi kutumia vitu complicate hatuzipendi
kiikweli BB os ,iOS na window phone na pia zamani alikuwepo symbian os ni os complicated sana na pia ni bora misimu yote napenda kitu completed ila android hata mtoto wa miaka miwili anachezea tu.
 
kiikweli BB os ,iOS na window phone na pia zamani alikuwepo symbian os ni os complicated sana na pia ni bora misimu yote napenda kitu completed ila android hata mtoto wa miaka miwili anachezea tu.
Ukp poa sana

Sent from mTalk using microsoft lumia 950xl
 
Mshua akanunua BlackBerry sasa yule bwana akawa haelewi kabisaaaa kuitumia akawa anafanya siri. Siku hiyo mambo yakamshinda ikabidi aniite na kunikabidhi kwa masharti " NIITIE FUO" Yank niizindue. Nikasema sifanyi makosa nikaichukua kidume kila nikimfundisha haelewi basi ikawa yangu jumla..
Chuo walinikoma
 
Habari wanajamvi

Tujikumbushe na mnijuze hivi ule ushabiki wa blackberry uliishia wapi,maana ilikuwa kila kona ni kubadilishana BBM namba,kweli ivumayo haidumu,what happen to blackberry phones.

Naomba kuwakilisha
Tulikuwa tunapondewa kama vile sasa hivi tunavyopondewa wenye vi Tecno na vi Huawei vyetu dhidi ya Apple na Samsung.
 
Na sasa hivi BlackBerry wame-Release OS 10.3.3.

Zinanibariki sana BlackBerry.
 
Ndio mobile phone industry hiyo Nokia(feature phone) na Blackberry(smartphone) ndio walikuwa market leaders kwenye sekta zao kwa miaka mingi.. Then jamaa wetu Steve Jobs akaja na kutikisa soko na iPhone. Hao majamaa wakawa awajajipanga kabisa maana hawakujua kama kitu kama hicho kitapendwa kiasi kile. Maana muda ule simu zao zilikuwa more advanced kuliko iPhone ile ya 2007.

Sasa baada ya hapo Mzee wetu Google kwa kutaka njia mpya ya kukusanya data zetu na kuuza akaja na Android, hapo ndio akawa maliza maana since ilikuwa open source OS ikamaanisha mtengeneza simu yoyote anaweza kutumia (ilimradi tu aweke Google play Store na kuinstall apps kadha za Google ) , ndio kina Samsung, HTC, Sony na LG wakaanza kupanda kwa kasi ya bugatti baada ya miaka kibao ya kusoma namba toka kwa Nokia.

Alafu wakaja kina Huawei na ZTE na kutengeneza simu zao za android za promotion 199,999tshs zenye whatsapp, Facebook. Unadhani nani atanunua tena Symbian/Meego, Windows Mobile au Blackberry (lisimu mpaka kutumia lazima uweke kifurushi special kile cha 20,000 sijui 30,000) 600,000+?


Kabla ya Google kulikuwa na yahoo
na hotmail
na baadae walileta Bing...
but hakuna kitu...
Fast forward kidogo.

Leo hii Blackberry kaachana na Blackberry OS na yeye anatumia Android na 2017 Nokia pia na kupinga kwake kutumia Android miaka ile ambayo ingemuokoa kuwa tena market leader na kuchagua Windows phone naye atatumia Android (according to rumors). Na Samsung aliyekuwa anashika mkia miaka yote leo ndio muuzaji mkubwa wa simu duniani Hahahahaha maisha haya wazungu wanasema "what goes up must come down"
 
binafsi mimi ni mpenzi na shabiki wa NOKIA na BLACKERRY kuliko android ingawa maisha ya kitechnology yananilazimu nimiliki android device.
ujio wa android umepunguza mauzo ya BLACKBERRY kiasi cha kampuni kuelekea kukosa wateja hasa wa hali ya chini. but tukija katika uhalisia BLACBERRY OS ni BORA KULIKO ANDROID hasa katika masuala ya kibiashara na usiri wa docment zako. wengi wa wanaoziponda blackberry hawajawahi kutumia, na kama walitumia basi ni kwa muda mfupi sana kiasi cha kutokuzifikia sifa za BB OS, so kushindwa kukitumia kitu haina maana hakina ubora. kwa mfano, Binafsi sioni kama kuna chatting application kali ktk android inayoizidi BBM na hasa ukiitumia ktk BB OS.

pia Blackberry zilipoingia ilikuwa kuimiliki tuu kunakuongezea heshima maradufu na zilikuwa simu za gharama sana kama ilivyo iphone leo hii, nasema iphone coz kuna watu wako radhi kuichagua tecno huku wakikwambia iphone hawaipendi kisa ngumu kuielewa. hvyo hvyo ndivyo ilivyokuwa kwa BB OS, kutokana na kukalilishana bado watu wanaulizia BlackBerry imepotelea wapi tena bila aibu humu humu ktk huu uzi watu wanasifia Android Device eti bora kuliko Blackberry, labda niwaulize, Blackberry sio Android device? au mna maanisha BlackBerry OS? basi kama ni hvyo, BlackBerry wana Android Device, je mmejaribu kutumia?

huko mbele nawaona Blackberry na Nokia wakija kuchukua nafasi zao hasa baada na wao kuanza kutoa smartphone zenye Android. nasema hvyo kwa maana hawa jamaa bado wanalipwa hela mingi mingi na makampuni hayo ya simu mnayoyaona bora kwa kutumia technology zao kuboresha device zao. mfano, hakuna device zenye mpango bora wa keyboard kama BlackBerry, ukija kwa Nokoa ndio kabisa wakisema wazuie Makampuni mengine yasitumie mautundu yao ujue ni shida.

so blackberry kama device bado wako vizuri sana tuu, ingawa ujio wa android uliwatikisa kidopgo ila nao wameona waingie na huko bila kutoka katika asili yao so ukitaka BlackBerry ya BB OS unapata ukitaka android unapata.

Chanzo cha Yote ni ANDROID kuwaq OS ya BURE, so yeyote mwenye wazo la kuiboresha anakubaliwa, ukiweza kutengeneza device OS unaipata tuu, so ni tofauti na BB wanaoanza kutengeneza Os wao wenyewe na device wao wenyewe.

Natafuta Balckberry Classic mpya, mwenye nayo au anayejua ninakoweza kuipata anijuze.

Natumia Nokia tochi kwa sasa baada ya Samsung yangu kufa, najua nitakosa apps kadhaa (ikiwemo whatsapp mwezi Juni) ila naona hasara pesa yangu kununua simu ya android tena.
Nikihitaji Whatsapp nitanunua simu ya 120,000/= kwa ajili ya Whatsapp tu.
binafsi mimi ni mpenzi na shabiki wa NOKIA na BLACKERRY kuliko android ingawa maisha ya kitechnology yananilazimu nimiliki android device.
ujio wa android umepunguza mauzo ya BLACKBERRY kiasi cha kampuni kuelekea kukosa wateja hasa wa hali ya chini. but tukija katika uhalisia BLACBERRY OS ni BORA KULIKO ANDROID hasa katika masuala ya kibiashara na usiri wa docment zako. wengi wa wanaoziponda blackberry hawajawahi kutumia, na kama walitumia basi ni kwa muda mfupi sana kiasi cha kutokuzifikia sifa za BB OS, so kushindwa kukitumia kitu haina maana hakina ubora. kwa mfano, Binafsi sioni kama kuna chatting application kali ktk android inayoizidi BBM na hasa ukiitumia ktk BB OS.

pia Blackberry zilipoingia ilikuwa kuimiliki tuu kunakuongezea heshima maradufu na zilikuwa simu za gharama sana kama ilivyo iphone leo hii, nasema iphone coz kuna watu wako radhi kuichagua tecno huku wakikwambia iphone hawaipendi kisa ngumu kuielewa. hvyo hvyo ndivyo ilivyokuwa kwa BB OS, kutokana na kukalilishana bado watu wanaulizia BlackBerry imepotelea wapi tena bila aibu humu humu ktk huu uzi watu wanasifia Android Device eti bora kuliko Blackberry, labda niwaulize, Blackberry sio Android device? au mna maanisha BlackBerry OS? basi kama ni hvyo, BlackBerry wana Android Device, je mmejaribu kutumia?

huko mbele nawaona Blackberry na Nokia wakija kuchukua nafasi zao hasa baada na wao kuanza kutoa smartphone zenye Android. nasema hvyo kwa maana hawa jamaa bado wanalipwa hela mingi mingi na makampuni hayo ya simu mnayoyaona bora kwa kutumia technology zao kuboresha device zao. mfano, hakuna device zenye mpango bora wa keyboard kama BlackBerry, ukija kwa Nokoa ndio kabisa wakisema wazuie Makampuni mengine yasitumie mautundu yao ujue ni shida.

so blackberry kama device bado wako vizuri sana tuu, ingawa ujio wa android uliwatikisa kidopgo ila nao wameona waingie na huko bila kutoka katika asili yao so ukitaka BlackBerry ya BB OS unapata ukitaka android unapata.

Chanzo cha Yote ni ANDROID kuwaq OS ya BURE, so yeyote mwenye wazo la kuiboresha anakubaliwa, ukiweza kutengeneza device OS unaipata tuu, so ni tofauti na BB wanaoanza kutengeneza Os wao wenyewe na device wao wenyewe.

binafsi mimi ni mpenzi na shabiki wa NOKIA na BLACKERRY kuliko android ingawa maisha ya kitechnology yananilazimu nimiliki android device.
ujio wa android umepunguza mauzo ya BLACKBERRY kiasi cha kampuni kuelekea kukosa wateja hasa wa hali ya chini. but tukija katika uhalisia BLACBERRY OS ni BORA KULIKO ANDROID hasa katika masuala ya kibiashara na usiri wa docment zako. wengi wa wanaoziponda blackberry hawajawahi kutumia, na kama walitumia basi ni kwa muda mfupi sana kiasi cha kutokuzifikia sifa za BB OS, so kushindwa kukitumia kitu haina maana hakina ubora. kwa mfano, Binafsi sioni kama kuna chatting application kali ktk android inayoizidi BBM na hasa ukiitumia ktk BB OS.

pia Blackberry zilipoingia ilikuwa kuimiliki tuu kunakuongezea heshima maradufu na zilikuwa simu za gharama sana kama ilivyo iphone leo hii, nasema iphone coz kuna watu wako radhi kuichagua tecno huku wakikwambia iphone hawaipendi kisa ngumu kuielewa. hvyo hvyo ndivyo ilivyokuwa kwa BB OS, kutokana na kukalilishana bado watu wanaulizia BlackBerry imepotelea wapi tena bila aibu humu humu ktk huu uzi watu wanasifia Android Device eti bora kuliko Blackberry, labda niwaulize, Blackberry sio Android device? au mna maanisha BlackBerry OS? basi kama ni hvyo, BlackBerry wana Android Device, je mmejaribu kutumia?

huko mbele nawaona Blackberry na Nokia wakija kuchukua nafasi zao hasa baada na wao kuanza kutoa smartphone zenye Android. nasema hvyo kwa maana hawa jamaa bado wanalipwa hela mingi mingi na makampuni hayo ya simu mnayoyaona bora kwa kutumia technology zao kuboresha device zao. mfano, hakuna device zenye mpango bora wa keyboard kama BlackBerry, ukija kwa Nokoa ndio kabisa wakisema wazuie Makampuni mengine yasitumie mautundu yao ujue ni shida.

so blackberry kama device bado wako vizuri sana tuu, ingawa ujio wa android uliwatikisa kidopgo ila nao wameona waingie na huko bila kutoka katika asili yao so ukitaka BlackBerry ya BB OS unapata ukitaka android unapata.

Chanzo cha Yote ni ANDROID kuwaq OS ya BURE, so yeyote mwenye wazo la kuiboresha anakubaliwa, ukiweza kutengeneza device OS unaipata tuu, so ni tofauti na BB wanaoanza kutengeneza Os wao wenyewe na device wao wenyewe.

Natafuta Blackberry Classic. Kama unajua wapi naweza kupata naomba unijuze
 
Natafuta Balckberry Classic mpya, mwenye nayo au anayejua ninakoweza kuipata anijuze.

Natumia Nokia tochi kwa sasa baada ya Samsung yangu kufa, najua nitakosa apps kadhaa (ikiwemo whatsapp mwezi Juni) ila naona hasara pesa yangu kununua simu ya android tena.
Nikihitaji Whatsapp nitanunua simu ya 120,000/= kwa ajili ya Whatsapp tu.




Natafuta Blackberry Classic. Kama unajua wapi naweza kupata naomba unijuze
Tumia kuagiza kwa bongo kacheki ktk maduka ya posta zaidi utapata
 
Back
Top Bottom