nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Mwanadamu anapozaliwa anajikuta yupo duniani bila kujua ni jinsi gani aliingia ndani ya mama yake. Wapo watoto waliopatikana kwa njia baba kumbaka mama ake au mama kaleweshwa pombe kalegea kapanua miguu, au mama alipigwa gwaride hadi ukapitikana. Je ulishawahi kujiuliza mimi najiuliza ila sipatagi majibu.