mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, yaani katika maisha yangu yote toka nipo chuo hadi namaliza sikuwai kuwa na mawazo wala kufikiria kuoa, wakati nipo mwaka wa 4 chuoni nilimpa mimba mwanamke niliekuwa nae kwenye mahusiano, ni mimba ambayo haikuwa kwenye makubaliano na ilileta pukurushani sana, lakini nilichokuja kukigundua ni yule niliyezaa nae ni kama aliweka mtego flani wa mimba ili nimuoe.
Lakini hicho kitu hakikutokea kutokana na msimamo wangu maana niliona vijana wengi wanaingia kwenye hio mitego kisa kumpa mtu mimba huishia kuoa baadae inaleta shida ni kama mtoto ndie anaefanya ile ndoa iwepo tulifanikiwa kupata binti hadi sasa ana miaka 6 na yupo kwa mamake mahitaji yote yanapelekwa ikiwemo ada katika shule zetu zile za kisasa jamani apetite ya kuoa ilianza kunitoka kutokana na ndoa za marafiki zangu zilivyokua zinaenda shaghala bagala.
Kuna rafiki yangu mmoja tumemchangia hela nyingi aoee wameoana hata miaka miwili haijafika kumbe bint alikuwa na uhusiano na mzungu na kazaa mtoto wa kizungu pure ndoa ikafia hapo hapo, wenigne tukikaa kwenye vikao vyetu vya bia ndo wanakwambia kabisa kama hujaoa bora ujitulize dogo utaishi vizuri sana jamani sio siri maisha yangu ni mazuri sana hayana stress za wanawake kabisa ingawa umri unaenda sina mawazo hayo kabisa.
Hata nikiwa na mahusiano na mwanamke nitamwambia nina mtu na yeye anaiba basi usumbufu wa kuoana unapungua sema tuu mother ndio anasumbua kila akipiga simu tukipiga story za hapa na pale atagusia hilo swala la kuoa lakini halazimishi yeye anasema tuu mzee wako kaondoka hujaoa hutaki hata mimi nione harusi yako.
Maana kila siku sisi tunachangia watu tu, hivi mlioa au kuolewa hayo maamuzi yalikuja tuu au kuna maombi ndani yake? Maana wengine mawazo hayo hatuna kabisa yaani, mawazo yangu huwa ni kutafuta hela tu sasa sijui kwasababu nina haka katoto kangu kabinti kamoja kanakofanya hata nisifikirie.
Lakini hicho kitu hakikutokea kutokana na msimamo wangu maana niliona vijana wengi wanaingia kwenye hio mitego kisa kumpa mtu mimba huishia kuoa baadae inaleta shida ni kama mtoto ndie anaefanya ile ndoa iwepo tulifanikiwa kupata binti hadi sasa ana miaka 6 na yupo kwa mamake mahitaji yote yanapelekwa ikiwemo ada katika shule zetu zile za kisasa jamani apetite ya kuoa ilianza kunitoka kutokana na ndoa za marafiki zangu zilivyokua zinaenda shaghala bagala.
Kuna rafiki yangu mmoja tumemchangia hela nyingi aoee wameoana hata miaka miwili haijafika kumbe bint alikuwa na uhusiano na mzungu na kazaa mtoto wa kizungu pure ndoa ikafia hapo hapo, wenigne tukikaa kwenye vikao vyetu vya bia ndo wanakwambia kabisa kama hujaoa bora ujitulize dogo utaishi vizuri sana jamani sio siri maisha yangu ni mazuri sana hayana stress za wanawake kabisa ingawa umri unaenda sina mawazo hayo kabisa.
Hata nikiwa na mahusiano na mwanamke nitamwambia nina mtu na yeye anaiba basi usumbufu wa kuoana unapungua sema tuu mother ndio anasumbua kila akipiga simu tukipiga story za hapa na pale atagusia hilo swala la kuoa lakini halazimishi yeye anasema tuu mzee wako kaondoka hujaoa hutaki hata mimi nione harusi yako.
Maana kila siku sisi tunachangia watu tu, hivi mlioa au kuolewa hayo maamuzi yalikuja tuu au kuna maombi ndani yake? Maana wengine mawazo hayo hatuna kabisa yaani, mawazo yangu huwa ni kutafuta hela tu sasa sijui kwasababu nina haka katoto kangu kabinti kamoja kanakofanya hata nisifikirie.