Mi aliponikera ni pale alisema anshangaa watu kujazana kwenye petrol station wakati mafuta yamejaa bwerere....yaani kama watu wanaona starehe kujazana huko petrol station! Nawashauri watafute msemaji wa idara (kama Tanesco Badra Masoud anawasaidia sana) lakini sio kama yule ***** Kaguo alivyokuwa anaropoka ropoka jana!
Miminafikiri ni muhimu kutumia sheria zilizopo na kuwabana wenye vituo vya mafuta badala ya kutupatia 'version tofauti kilakukicha .wanapopandishiwa bei mbona haraka haraka wanapandisha beina mafuta yanakuwepo kosa wakipunguziwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.