Tomito Tomato
Senior Member
- Feb 11, 2017
- 167
- 444
Huko nyuma miaka kadhaa Msanii TID alimpiga Msanii mwenzie Ray C hasa baada ya Ray C kusema mubashara kuwa TID anatumia dawa za Kulevya na akamtaka aachane nayo.
Kilichotokea ni kwamba TID alipinga na kukataa katakata kuwa anatumia huo ulaibu lakini hivi majuzi tu TID huyu huyu amejitokeza mbele ya Watanzania na kukiri kuwa alikuwa akitumia dawa za Kulevya tena kwa kipindi kirefu sana.
Je baada ya Yeye kukiri alishaenda kwa Ray C na kumuomba msamaha hasa baada ya kumpiga wakati ule alipomshutumu?
Kilichotokea ni kwamba TID alipinga na kukataa katakata kuwa anatumia huo ulaibu lakini hivi majuzi tu TID huyu huyu amejitokeza mbele ya Watanzania na kukiri kuwa alikuwa akitumia dawa za Kulevya tena kwa kipindi kirefu sana.
Je baada ya Yeye kukiri alishaenda kwa Ray C na kumuomba msamaha hasa baada ya kumpiga wakati ule alipomshutumu?