Hivi ukiulizwa Tanzania inajivunia ki2 gani [kitu kimoja tu] ambacho kimeleta manufaa kwa kwa maslahi ya wananchi wa Tanzania ambacho nchi inaweza kusimama na kusema 2najivunia ki2 fulan ?? Mfano wenzetu kenya na ethiopia wamejikita katika usafiri wa anga...wana uwezo wa kusema wanajivunia na kujulikana dunia nzima katika usafirishaji wa anga