wakati wenzake walikuwa busy kutafuta matangazo na wadhamini wa vipindi yeye alikuwa anatoa offer kwa ccm kumtukana Lowasa, sasa kwa nini asifilisike? Aliamua kumuaibisha Lowasa sasa sijui kati ya Lowasa na yeye nani anae aibika zaidi?! Wahenga walisema utavuna ulicho panda, acha avune mabua yake.