Alijificha kwenye kivuli cha Ukada.Cha kustaajabu na sisi kama wateja ili kuipata hio star tv channel tunailipia hatuoni bure
Sasa kitu gani kiwafanye hadikukimbikiza deni au kutolipa deni wakati ni haki yao TRA?
Sent from Calculator Phone vesion007
Nulijiunga kabla hujafundishwa kubadili font colour na kuweka za zisizosomekaMm ndo nlikushaur ujiunge jf??
Triple A
Acha kukariri?? Je malipo yake ya wakati wa uchaguzi alishalipwaaa??! Kwani katika vituo ambavyo vikijitoa mhanga kurusha kila kitu ambacho ccm walikuwa. Wanakifanya kwenye kampeni ni star tv!! Nasikia kuna madai nao waidai ccm.Walikuwa wapiga dili sasa kwenye utawala huu hakuna dili ndiyo maana wameanza kufilisika
Sasa wewe futuh tu ndio inakuboa hadi ifungweNimefurahia hicho kituo kufungwa kwa ajili ya hio hio FUTUHI TU
Yani ckipendi hicho kipindi
Na bora iuzwe tu Star Tv
Ajabu sana. Malipo ya kujiunga na radio/TV za nje, matangazo yalikuwa yaenda wapi?Upo sawa mkuu
Sasa si wawalipe hao TRA? MBONA NA SISI WATEJA TUNAILIPIA HIO CHANNEL KUIANGALIA?
hao viongozi wahicho kituo wanafanya kazi gani?
Sent from Calculator Phone vesion007
Tangia kufungwa kwa kituo cha Star Tv wiki mbili sasa naona kimya tu kila niki search hio channel kwenye TV siioni.
Nasikia kuna malalamiko juu ya ulipwaji wa mishahara ya wafanyakazi wa kituo hicho.Je hio kodi italipwa au ndio kituo imetoka hio?
Nimeimiss saana taarifa ya habari ya dira ya dunia ktk Star tv.
Sent from Calculator Phone vesion007
Sasa wewe futuh tu ndio inakuboa hadi ifungwe
Tangia kufungwa kwa kituo cha Star Tv wiki mbili sasa naona kimya tu kila niki search hio channel kwenye TV siioni.
Nasikia kuna malalamiko juu ya ulipwaji wa mishahara ya wafanyakazi wa kituo hicho.Je hio kodi italipwa au ndio kituo imetoka hio?
Nimeimiss saana taarifa ya habari ya dira ya dunia ktk Star tv.
Sent from Calculator Phone vesion007
Tangia kufungwa kwa kituo cha Star Tv wiki mbili sasa naona kimya tu kila niki search hio channel kwenye TV siioni.
Nasikia kuna malalamiko juu ya ulipwaji wa mishahara ya wafanyakazi wa kituo hicho.Je hio kodi italipwa au ndio kituo imetoka hio?
Nimeimiss saana taarifa ya habari ya dira ya dunia ktk Star tv.
Sent from Calculator Phone vesion007
hakuna cha madai wala nini, walijipendekeza wenyewe!Acha kukariri?? Je malipo yake ya wakati wa uchaguzi alishalipwaaa??! Kwani katika vituo ambavyo vikijitoa mhanga kurusha kila kitu ambacho ccm walikuwa. Wanakifanya kwenye kampeni ni star tv!! Nasikia kuna madai nao waidai ccm.
Clouds mbona ipoHakuna chombo chochote cha habari kilicho tembelewa na bashite kitasalia juu ya tanzania
Mm ndo nlikushaur ujiunge jf??
[Color= yellow]Triple A[/color]
Clouds mbona ipo
Namaanisha kukwaruzana naye simaanishi kitafungwa
Sent using Jamii Forums mobile app