Hivi ''Rais'' yuko nchini au vipi?

Wakuu Tulieni Protocal Watatoa tu kwani Mh. Rais wetu tunamjali sana wakuu Tanzania Ibarikiwe na Rais Abarikiwe
 
Yuko angani kwenye ndege ya serikali, anafikiria atue nchi gani.
alipotoka kuala lumpar alipitia Singapore kuangalia kama anaweza kuja na mvua za Lowasa...then akaenda London kumjulia hali J4 malecela....atatoka london ataenda Reading kukutana na wabongo kwa mualiko wa Susan Mzee.....

ata spend siku 2 hapo akitoka hapo ataenda mexico city kuangalia under 17 world cup mechi moja ya fainali na atakabidhi kikombe cha msbhindi wa tatu akitoka hapo atakuja mashenzini kwenu hatakaa sana
 
Rais kiruka njia .....!!!!!sijui km utampata kokote kwani yeye hatulii....naamini utakuwa unapishana naye kila unakoambiwa yuko na kuamua kwenda kumfuata.................kikwete hakamatiki kwa safari!!!!!,.......lakini nimtetee kidogo kuwa safari zake zimesaidia kuypunguza umasikini ndio maana tupo hapa tulipo vinginevyo tungekuwa nyuma kabisa na hakuna mtu angewezakuijua tz bila kikwete kusafiri nje....mwenye kubisha aje na hoja ndiyo maana kipindi cha nyerere maisha yalikuwa magumu......watoto walikuwa hawaendi shule kwa kukosa ada ,wazazi wa akina kikwete walitumia pesa nyingi sana kusomea chuo kikuu, na kulikuwa hakuna hospital au gharama za hospital zilikuwa kubwa saba kwa sababu tu nyerere alikuwa hasafiri nje..........haya tuliyonayo ndiyo matunda ya safari za rais wetu muuza sura!!!!!
 
Nilisikia aliruka jana toka malaysia ina maana bado hajatua,au kaenda dodoma kuchukua posho.
 
kuna tofauti gani akiwepo au asipokuwepo Tanzania? sijaona labda nyie wanaJF.
hakuna la maana liliofanyika kwa Mtanzania wa kawaida,Kama watu hawana umeme watajimudu vipi?
yy akija Ikulu hajui kama umeme unakatika,
Anatembelea gulf streem hajui kama mafuta yamepanda bei kubwa,
Anatumia dola hajui kama shilingi yetu imeshuka sana hadi 1700,
Anakula vinono tena kwenye 5 stars hotel hajui kama vyakula bei juu, naona tunamlaumu bure kwa kutokuwepo nyumbani kwani yy anaamini watendaji wake aliowachagua wanajituma vilivo.
 
Rais kiruka njia .....!!!!!sijui km utampata kokote kwani yeye hatulii....naamini utakuwa unapishana naye kila unakoambiwa yuko na kuamua kwenda kumfuata.................kikwete hakamatiki kwa safari!!!!!,.......lakini nimtetee kidogo kuwa safari zake zimesaidia kuypunguza umasikini ndio maana tupo hapa tulipo vinginevyo tungekuwa nyuma kabisa na hakuna mtu angewezakuijua tz bila kikwete kusafiri nje....mwenye kubisha aje na hoja ndiyo maana kipindi cha nyerere maisha yalikuwa magumu......watoto walikuwa hawaendi shule kwa kukosa ada ,wazazi wa akina kikwete walitumia pesa nyingi sana kusomea chuo kikuu, na kulikuwa hakuna hospital au gharama za hospital zilikuwa kubwa saba kwa sababu tu nyerere alikuwa hasafiri nje..........haya tuliyonayo ndiyo matunda ya safari za rais wetu muuza sura!!!!!
ebu peleka ujinga wako huko,vijana we2 wanasoma kwa kodi ze2 cc walala hoi na co misaada ya hao waduanzi wanaopigiwa magoti na huyo cjui ndio kiwete au kikwete!
 
Rais kiruka njia .....!!!!!sijui km utampata kokote kwani yeye hatulii....naamini utakuwa unapishana naye kila unakoambiwa yuko na kuamua kwenda kumfuata.................kikwete hakamatiki kwa safari!!!!!,.......lakini nimtetee kidogo kuwa safari zake zimesaidia kuypunguza umasikini ndio maana tupo hapa tulipo vinginevyo tungekuwa nyuma kabisa na hakuna mtu angewezakuijua tz bila kikwete kusafiri nje....mwenye kubisha aje na hoja ndiyo maana kipindi cha nyerere maisha yalikuwa magumu......watoto walikuwa hawaendi shule kwa kukosa ada ,wazazi wa akina kikwete walitumia pesa nyingi sana kusomea chuo kikuu, na kulikuwa hakuna hospital au gharama za hospital zilikuwa kubwa saba kwa sababu tu nyerere alikuwa hasafiri nje..........haya tuliyonayo ndiyo matunda ya safari za rais wetu muuza sura!!!!!
Hopefully hii umeiandika ki propaganda.Manake kama you mean what you say,then tuna tatizo kubwa sana.Sijui ni elimu imeshuka ama vipi?Kwasababu niko very concerned na uwezo wa kufikiri,ku analyze na uelewe wa kizazi hiki kipya....Yani ni bure kabisaa.Especially nikipita humu JF sometimes inakatisha tamaa kuwasoma nyie.Ndo hayo wanayodai sekondari za kata?Inasikitisha sana.
 
kuna tofauti gani akiwepo au asipokuwepo Tanzania? sijaona labda nyie wanaJF.hakuna la maana liliofanyika kwa Mtanzania wa kawaida,Kama watu hawana umeme watajimudu vipi? yy akija Ikulu hajui kama umeme unakatika,Anatembelea gulf streem hajui kama mafuta yamepanda bei kubwa, Anatumia dola hajui kama shilingi yetu imeshuka sana hadi 1700, Anakula vinono tena kwenye 5 stars hotel hajui kama vyakula bei juu, naona tunamlaumu bure kwa kutokuwepo nyumbani kwani yy anaamini watendaji wake aliowachagua wanajituma vilivo.
Mkuu!Heri mie SIJASEMA!!!NADHANI ANATAFUTA 'MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA PAMOJA NA SISI Wana-JF.' Ameamua sasa kufanya hivyo kwa KASI KUBWAAAA ZAIDI.
 
Back
Top Bottom