Hivi radio Clouds FM imekuwa radio ya taifa?

PAMBA1

Member
Sep 13, 2011
55
26
nashangazwa sana na matangazo yanayotangazwa na radio clouds fm kuhusu miaka hamsini ya uhuru,hivi hiyo pesa iliyolipia matangazo hayo ya kila mala si niyawalipa kodi masikini wa tanzania.halafu tunaradio ya taifa TBC kazi yake ni nini mpaka tunatumia radio binafsi au clouds fm na watangazaji wake kina mchomvu,suka, seba,na kibonde wanajua uhuru ulivyopatikana kuliko watangazaji wa tbc kina malinyi hasan na wenzake
 
Kupewa tenda kama hizi sio jambo lakushangaza hata kidogo kwani kama bday wanamfanyia mkuu wa kaya unadhani ataacha kuwafanyia mambo ambayo kwao ni mazuri ila kwetu walipa kodi yanatukandamiza
 
Nyiye mwaishi nchi gani hamjui Clouds ni nani nan ni nini?

big_1f22fb15a4fa2fa57182bdbcb77d65ac.jpg
 
Taifa la Kibonde na Hando. Wanafuata sana ile sera ya ccm inasema JIKOMBE UKOMBOREWE na reward ndio hayo matangazo ya uhuru wao wa Tanzania bara yao. Sisi tunaosherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika hatuna noma kwani tunajua kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Haaaaaaaa 88.4 ni nomaaaaaaaaaaaaa imekamata kotekote sector zote kuanzia kwa mdosi,marketing manager mpaka ikulu kazi ni kwako
 
Kiredio chenu sikilizeni tu,na hao watu wenu,kibonde na timu yake,lakini laana ii juu yao kwa yale waliofanikisha kukandamizwa na kunyoshwa kwa wavuja jasho wa nchii hii kupitia kiredio chao.
 
Chema chajiuza, kibaya chajitangaza,

Kuna sababu gani za kupiga zumari na la mgambo kuwaambia wananchi kwamba nchi itasherehekea miaka 50 ya uhuru.

Kwa makelele yote haya inaashiria kuwa watu hawajui au hawana uhakika kama nchi iko huru, au la wamesahau na juhudi za makusudi na za ziada zinachukuliwa kuwakumbusha raia waliosahahu kuwa wako huru.

 
Back
Top Bottom