Hivi profession ya Nape ni nini?!

andrews

JF-Expert Member
Mar 28, 2012
1,679
152
[h=2]Hivi profession ya nape ni nini?![/h]
Ningependa hili swali alijibu alafu twende tukajadili ya gemedari ULIMBOKA.huyu jamaa anapata wapi kuhoji taaluma ya udaktari wakati hajui watu walisotea vipi hiyn dr,? Anatembea na gari la mamilioni ya shilingi kwa lipi analolifanyia taifa?hebu tujadili hili,..huyu nape akikosekana kwenye hii taifa tutakua tumekosa nini labda au tumepoteza nini.?​


 
Hivi profession ya nape ni nini?!

Ningependa hili swali alijibu alafu twende tukajadili ya gemedari ULIMBOKA.huyu jamaa anapata wapi kuhoji taaluma ya udaktari wakati hajui watu walisotea vipi hiyn dr,? Anatembea na gari la mamilioni ya shilingi kwa lipi analolifanyia taifa?hebu tujadili hili,..huyu nape akikosekana kwenye hii taifa tutakua tumekosa nini labda au tumepoteza nini.?​
Andrews,
Ahsante sana kwa swali lako zuri! Lakini niwie radhi kabla sijalijibu nieleze yafuatayo.
Natambua sana ni kwa kiasi gani wasioipenda CCM wanavyonichukia wakiamini kuwa uwepo wangu na juhudi zangu ni sehemu ya vikwazo vikubwa vya hicho wanachokitaka kitokee kwa CCM kutotokea! Hili sina msaada kwao! Hivyo kwa hili nawaruhusu na kwakweli wana haki ya kunitukana watakavyo!Ndo maana pamoja na matusi yote , kejeli zote humu ndani hazinifanye niichukie hii forum au niwachukie wachangiaji kwani wana uhuru wa kusema watakalo. Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!

Swala la madaktari!!
Sijahoji hata kidogo, wala sitahoji hata kidogo taaluma yoyote acha udaktari, taaluma yeyote hata yako, sihoji!!! Si kazi yangu, wapo waliopewa kazi hiyo!!kama we umechakachua ya kwako basi tuache tuliokaa darasani tukasota mpaka kufika hapa tulipo fika. NIMESOMA HILI SILIONEI HAYA, MAANA NIMESOMA SI KWA KUBAHATISHA, na kwakweli elimu ndio urithi pekee imara alioniachia marehemu babaangu.

Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI WAO WAKASOMA MPAKA KUFIKA HAPO? JE INGEKUWA NI WAZAZI WAO KWA MFANO BABA AU MAMAAKO WAKO TAYARI WAWAFIE MIKONONI KISA KUNA MASILAHI WANADAI KWA SERIKALI??
Naomba ifahamike wazi hapa mimi sipingi wao kudai haki/masilahi zaidi, sipingi hata kidogo, ninachohoji ni njia waliyotumia ndio njia pekee?/

MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.
 
Andrews,
Ahsante sana kwa swali lako zuri! Lakini niwie radhi kabla sijalijibu nieleze yafuatayo.
Natambua sana ni kwa kiasi gani wasioipenda CCM wanavyonichukia wakiamini kuwa uwepo wangu na juhudi zangu ni sehemu ya vikwazo vikubwa vya hicho wanachokitaka kitokee kwa CCM kutotokea! Hili sina msaada kwao! Hivyo kwa hili nawaruhusu na kwakweli wana haki ya kunitukana watakavyo!Ndo maana pamoja na matusi yote , kejeli zote humu ndani hazinifanye niichukie hii forum au niwachukie wachangiaji kwani wana uhuru wa kusema watakalo. Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!

Swala la madaktari!!
Sijahoji hata kidogo, wala sitahoji hata kidogo taaluma yoyote acha udaktari, taaluma yeyote hata yako, sihoji!!! Si kazi yangu, wapo waliopewa kazi hiyo!!kama we umechakachua ya kwako basi tuache tuliokaa darasani tukasota mpaka kufika hapa tulipo fika. NIMESOMA HILI SILIONEI HAYA, MAANA NIMESOMA SI KWA KUBAHATISHA, na kwakweli elimu ndio urithi pekee imara alioniachia marehemu babaangu.

Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI WAO WAKASOMA MPAKA KUFIKA HAPO? JE INGEKUWA NI WAZAZI WAO KWA MFANO BABA AU MAMAAKO WAKO TAYARI WAWAFIE MIKONONI KISA KUNA MASILAHI WANADAI KWA SERIKALI??
Naomba ifahamike wazi hapa mimi sipingi wao kudai haki/masilahi zaidi, sipingi hata kidogo, ninachohoji ni njia waliyotumia ndio njia pekee?/

MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.
Ila kwa mtindo huu mlioanza wa kuua wanaodai haki kama mlivofanya Igunga, Mwanza na Arusha na wengine kuwanyanyasa kiasi hiki cha akina-Ulimboka nadhani ukombozi wa Tanganyika yetu upo karibu. Lakini kwa upande wa Udini na Ukanda ambao mnaendelea kuupanda naamini hata nyinyi madhara yake mtaya-feel tu km siyo moja kwa moja basi kwa watoto wenu.
 
Andrews,
Ahsante sana kwa swali lako zuri! Lakini niwie radhi kabla sijalijibu nieleze yafuatayo.
Natambua sana ni kwa kiasi gani wasioipenda CCM wanavyonichukia wakiamini kuwa uwepo wangu na juhudi zangu ni sehemu ya vikwazo vikubwa vya hicho wanachokitaka kitokee kwa CCM kutotokea! Hili sina msaada kwao! Hivyo kwa hili nawaruhusu na kwakweli wana haki ya kunitukana watakavyo!Ndo maana pamoja na matusi yote , kejeli zote humu ndani hazinifanye niichukie hii forum au niwachukie wachangiaji kwani wana uhuru wa kusema watakalo. Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!

Swala la madaktari!!
Sijahoji hata kidogo, wala sitahoji hata kidogo taaluma yoyote acha udaktari, taaluma yeyote hata yako, sihoji!!! Si kazi yangu, wapo waliopewa kazi hiyo!!kama we umechakachua ya kwako basi tuache tuliokaa darasani tukasota mpaka kufika hapa tulipo fika. NIMESOMA HILI SILIONEI HAYA, MAANA NIMESOMA SI KWA KUBAHATISHA, na kwakweli elimu ndio urithi pekee imara alioniachia marehemu babaangu.

Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI WAO WAKASOMA MPAKA KUFIKA HAPO? JE INGEKUWA NI WAZAZI WAO KWA MFANO BABA AU MAMAAKO WAKO TAYARI WAWAFIE MIKONONI KISA KUNA MASILAHI WANADAI KWA SERIKALI??
Naomba ifahamike wazi hapa mimi sipingi wao kudai haki/masilahi zaidi, sipingi hata kidogo, ninachohoji ni njia waliyotumia ndio njia pekee?/

MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.

Njia nyingine kama ipi? au kama ya wale wastaafu wa EAC, kwenda mahakamani? hongera kwa kurithishwa elimu na babako...nyie mnarithisha nini sasa? hatred, kwa mfano wewe binafsi unawachukia wachaga and you said it, endeleeni tu kueneza ukabila na udini ili mcling kwenye power ambayo nayo mmekuwa useless.
 
Ila kwa mtindo huu mlioanza wa kuua wanaodai haki kama mlivofanya Igunga, Mwanza na Arusha na wengine kuwanyanyasa kiasi hiki cha akina-Ulimboka nadhani ukombozi wa Tanganyika yetu upo karibu. Lakini kwa upande wa Udini na Ukanda ambao mnaendelea kuupanda naamini hata nyinyi madhara yake mtaya-feel tu km siyo moja kwa moja basi kwa watoto wenu.

Unahakika na usemayo?!!?? Unawajua waliomteka na kumtesa Ulimboka?! Tuje kuchukua ushahidi?! Kwanini tusiamini kuwa mmefanya hivyo nyie kwasababu za kisiasa?!! Mwogopeni Mungu!! Uzuri hakuna siri soon itajulikana!!
 
Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!


Unauliza jibu kaka! Huoni kuna mantiki ya kwa nini asilimia kubwa ya wachangiaji kwenye jukwaa hili hawataki kutumia majina yao? Kama waliodiriki kusimama kupigania haki zao waziwazi kama kina Ulimboka, hatima yao ndiyo kama hiyo ya tunayoijdili hivi sasa, jee cha kukushangaza sana hadi uje na hoja yako hapo juu ni nini?

Kwa mtaji ya yaliyomkuta Ulimboka hivi majuzi, jee bado tu huelewi kwa nini Wananchi wa Kawaida wanaogopa kutumia majina yao halisi humu ndani, zaidi ya Wanasiasa wachache wanaoheshimiwa na kulindwa kama wewe mwenyewe?
 
Unauliza jibu kaka! Huoni kuna mantiki ya kwa nini asilimia kubwa ya wachangiaji kwenye jukwaa hili hawataki kutumia majina yao? Kama waliodiriki kusimama kupigania haki zao waziwazi kama kina Ulimboka, hatima yao ndiyo kama hiyo ya Ulimboka tunayoijdili hivi sasa!!

Kwa mtaji ya yaliyomkuta Ulimbokba hivi majuzi, jee bado tu huelewi kwa nini Wananchi wa Kawaida wanaogopa kutumia majina yao halisi humu ndani, zaidi ya Wanasiasa wachache wanaoheshimiwa.


wanaoheshimiwa????
 
niseme ukweli tu toka moyoni, ni bahati mbaya mimi sikupata nafasi ya kumteka dr. ulimboka, lakini kama ningekuwa nimemteka mimi, kitu cha kwanza:
  1. ningemla tigo hata kama sijawahi kula tigo mwanadamu yeyote tangu nizaliwe
  2. ningempiga bunduki ya kichwani au kifuani wala si mguuni
  3. ningemrushia nyama yake aliwe na kunguru wa zanzibar.
Huyu jamaa ana kiburi sana alafu ana fujo. MGOMO WAKE ULE WA KWANZA NUSURA AMUUE MKE WANGU ALIPOKUWA ANATAKIWA KUJIFUNGUA KWA OPERATION,...NILIHANGAIKA AJABU, NA SITAKUJA NISAHAU MAISHA YANGU YOTE KWA WAKATI MGUMU NILIOKUWA NAO ambao yeye kama mwenyekiti wa hawa madaktari uchuro alisimamia mgomo. sijui ni kwanini wamemuacha hai, watu kama hawa kule nchi za wenzetu wanapotea hata hawajulikani kama wako msitu wa pande au mabwe pande, futilia mbali hivi vijitu vinavyosumbua nchi.

  1. ungekuwa rais wewe leo ungefanya nini na watu wasumbufu kama hawa?
  2. madaktari wanataka mshahara wa mamilioni, hapohapo walimu wanataka, achilia mbali mapolisi ambao wote hao ukiunganisha wawili hawafikii mshahara anaopata daktari mmoja.
  3. kama daktari anadai yeye ana kazi ngumu na hatari kuliko wengine, je, vipi polisi anayerushiana risasi na majambazi kila siku? vipi wanasheria wanaowindwa kila siku kwa kushitaki watu? mbona doctors wako katika hali ya usalama kuliko profession zingine zote?
  4. serikali haina pesa, hakuna asiyejua hilo...hapa juzi hadi walizusha kuwa serikali imekopa pesa kwa lowasa ili ifinance some projects, sasa iyo mishahara na maboresho wanayoyataka walimu na madoctor wanataka pesa serikali izitoe wapi?
  5. tunaishi nchi masikini, hata kama kuna ufisadi, ufisadi huo usingekuwepo tusingeweza kutatua matatizo yote kwa siku moja, hii ni process, hivyo huwezi kuamka leo ukapata mshahara wa wazungu kule kwao, laizma tujibane na tuvumilie hali halisi iliyopo kwanza hadi hapo tutakapokuwa na pesa za kuongezewa mishahara. najua wengi mtasema mbona ufisadi unahodhi pesa nyingi, mara oooh madini etc, lakini hata hizo zote zingeinginzwa serikalini bado tu wanachodai madoctor kisingekuwa affordable. madaktari waache ujinga, hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi,w aache kazi ili wajue ugumu wa kutafuta kazi....au wahame nchi waende nje...kwani tumewashika miguu?
 
Andrews,
Ahsante sana kwa swali lako zuri! Lakini niwie radhi kabla sijalijibu nieleze yafuatayo.
Natambua sana ni kwa kiasi gani wasioipenda CCM wanavyonichukia wakiamini kuwa uwepo wangu na juhudi zangu ni sehemu ya vikwazo vikubwa vya hicho wanachokitaka kitokee kwa CCM kutotokea! Hili sina msaada kwao! Hivyo kwa hili nawaruhusu na kwakweli wana haki ya kunitukana watakavyo!Ndo maana pamoja na matusi yote , kejeli zote humu ndani hazinifanye niichukie hii forum au niwachukie wachangiaji kwani wana uhuru wa kusema watakalo. Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!

Swala la madaktari!!
Sijahoji hata kidogo, wala sitahoji hata kidogo taaluma yoyote acha udaktari, taaluma yeyote hata yako, sihoji!!! Si kazi yangu, wapo waliopewa kazi hiyo!!kama we umechakachua ya kwako basi tuache tuliokaa darasani tukasota mpaka kufika hapa tulipo fika. NIMESOMA HILI SILIONEI HAYA, MAANA NIMESOMA SI KWA KUBAHATISHA, na kwakweli elimu ndio urithi pekee imara alioniachia marehemu babaangu.

Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI WAO WAKASOMA MPAKA KUFIKA HAPO? JE INGEKUWA NI WAZAZI WAO KWA MFANO BABA AU MAMAAKO WAKO TAYARI WAWAFIE MIKONONI KISA KUNA MASILAHI WANADAI KWA SERIKALI??
Naomba ifahamike wazi hapa mimi sipingi wao kudai haki/masilahi zaidi, sipingi hata kidogo, ninachohoji ni njia waliyotumia ndio njia pekee?/

MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.


hebu underline professional yako, mr Nnauye Jr , maana naona siasa nyingi , kwanza jua huna maadui just as you perceive it, you have competitors (hakuna anayekuchukia kama unavyohisi, just hujiamini ), nothing personal, so just jibu hoja kuliko kuleta habari ndefu ambazo kimsing hazina tija kwani ni stori zile zile,

Unasema njia nyingine mbadala, ARE YOU JOKING MR ??????? mkuu kwani huu ni mgomo wa kwanza ???? una sema njia mbadala, je ni njia zipi izo mbadala unazotaka ambazo hazijafanyika ???? unataka madaktari wachukue njia zipi mbadala,
FUNGUKA-FUNGUKA
 
imagine una watoto watano, mtoto wa kwanza umempeleka st.marry's international school, wa pili umempeleka shule ya msingi ilala kikaangoni pale kajambanani, mtoto mwignine umempeleka kijijini kwa bibi akasome huko anatembea ila viatu, mwingine umempeleka kwa shangazi yake matombo morogoro kijijijni hadi amesahau kama huwa kuna chai/breakfast hapa duniani, kwani anaamkia ugali asubuhi....ikatokea mtoto yule wa St. marrys anagoma ati kwanini humnunuliii viatu vipya, anagoma pia kula wali na maharage anataka samaki na nyama ya kuku kila siku.....hapohapo wale watoto wengine wasio hata na viatu wapo tu wanashindwa hata pa kuanzia kwasababu UMESHATANGAZA KWA WATOTO WOTE KUWA HOME HAPA HAKUNA HELA, HIVYO TUTAANZA KULA DAGAA MTINDO MMOJA NA ALIYE NA VIATU AU NGUO AZITUNZE KWANI HUTAWANUNULIA KWA MUDA MREFU HADI UPATE HELA, mara mtoto yule wa st. mary]s anagoma kwenda shule na anaanza kuvunjavunja vyombo kabatini, hapohapo na wale wa kijijini ambao hawana hata viatu au nguo nzuri au shule nzuru kama ya yule wa st. marrys wanatangaza kuwa basi na sisi tutaanza fujo ili baba utuhududmie kama unavyomhudumia huyu mwenzetu wa st. marrys...WEWE KAMA BABA UTAFANYA NINI?....kama una akili, cha kwanza ni kumtoa yule wa st. marys aende shule ya bei rrahisi, alafu ile balance inayobaki baada ya kumhamisha shule utawaleta wale toka kijijini na wasome shule ya kawaida lakini ya afadhali...pia utaanza kuwapikia na msosi mzuri walau mara mbili kwa wiki etc na nguo utawanunulia....hivi ndivyo ilivyo picha ya madoctor, ambao akimaliza tu degree akianza kazi anapata laki tisa...mwalimu anapata laki tatu, polisi laki mbili na nusu....hivi madoctor wanaakili kweli?

USALAMA WA TAIFA UKO WAPI? KWANINI HIVI VINYANGARIKA VINASUMBUA NCHI NA NINYI MMEKAA KIMYAAAA?
 
Unahakika na usemayo?!!?? Unawajua waliomteka na kumtesa Ulimboka?! Tuje kuchukua ushahidi?! Kwanini tusiamini kuwa mmefanya hivyo nyie kwasababu za kisiasa?!! Mwogopeni Mungu!! Uzuri hakuna siri soon itajulikana!!

Man, you and your CCM can go to hell and burn! Your CCM government is 110% responsible and your spin and your sorry attempts at turning the tables on the opposition are not going to fly.
 
niseme ukweli tu toka moyoni, ni bahati mbaya mimi sikupata nafasi ya kumteka dr. ulimboka, lakini kama ningekuwa nimemteka mimi, kitu cha kwanza:
  1. ningemla tigo hata kama sijawahi kula tigo mwanadamu yeyote tangu nizaliwe
  2. ningempiga bunduki ya kichwani au kifuani wala si mguuni
  3. ningemrushia nyama yake aliwe na kunguru wa zanzibar.
Huyu jamaa ana kiburi sana alafu ana fujo. MGOMO WAKE ULE WA KWANZA NUSURA AMUUE MKE WANGU ALIPOKUWA ANATAKIWA KUJIFUNGUA KWA OPERATION,...NILIHANGAIKA AJABU, NA SITAKUJA NISAHAU MAISHA YANGU YOTE KWA WAKATI MGUMU NILIOKUWA NAO ambao yeye kama mwenyekiti wa hawa madaktari uchuro alisimamia mgomo. sijui ni kwanini wamemuacha hai, watu kama hawa kule nchi za wenzetu wanapotea hata hawajulikani kama wako msitu wa pande au mabwe pande, futilia mbali hivi vijitu vinavyosumbua nchi.

  1. ungekuwa rais wewe leo ungefanya nini na watu wasumbufu kama hawa?
  2. madaktari wanataka mshahara wa mamilioni, hapohapo walimu wanataka, achilia mbali mapolisi ambao wote hao ukiunganisha wawili hawafikii mshahara anaopata daktari mmoja.
  3. kama daktari anadai yeye ana kazi ngumu na hatari kuliko wengine, je, vipi polisi anayerushiana risasi na majambazi kila siku? vipi wanasheria wanaowindwa kila siku kwa kushitaki watu? mbona doctors wako katika hali ya usalama kuliko profession zingine zote?
  4. serikali haina pesa, hakuna asiyejua hilo...hapa juzi hadi walizusha kuwa serikali imekopa pesa kwa lowasa ili ifinance some projects, sasa iyo mishahara na maboresho wanayoyataka walimu na madoctor wanataka pesa serikali izitoe wapi?
  5. tunaishi nchi masikini, hata kama kuna ufisadi, ufisadi huo usingekuwepo tusingeweza kutatua matatizo yote kwa siku moja, hii ni process, hivyo huwezi kuamka leo ukapata mshahara wa wazungu kule kwao, laizma tujibane na tuvumilie hali halisi iliyopo kwanza hadi hapo tutakapokuwa na pesa za kuongezewa mishahara. najua wengi mtasema mbona ufisadi unahodhi pesa nyingi, mara oooh madini etc, lakini hata hizo zote zingeinginzwa serikalini bado tu wanachodai madoctor kisingekuwa affordable. madaktari waache ujinga, hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi,w aache kazi ili wajue ugumu wa kutafuta kazi....au wahame nchi waende nje...kwani tumewashika miguu?

uwezo mdogo sana wa kufikiria
 
hakuna zaidi ya kupiga blablaaa majukwaani.anajiita msomi kwa vyeti vya kughushi
 
Man, you and your CCM can go to hell and burn! Your CCM government is 110% responsible and your spin and your sorry attempts at turning the tables on the opposition are not going to fly.

Nyani Gabu unazeeka vibaya sasa! Haihitaji degree kujua kuwa u anaota ndoto za mchana huku unatembea, mdhara yake ndo hayo sasa, una wish mambo yasiyowezekana!! Pole sana wewe na wa akili kama yako!!
 
hakuna zaidi ya kupiga blablaaa majukwaani.anajiita msomi kwa vyeti vya kughushi
Uzushi mwingine ni wa ajabu sana, wewe vya kwako viko wapi mpaka ummseme Nape? Mie nakujua wewe sio wa kusema, hata wezi kama wewe sikuhizi mnapanua midomo????? Makubwa, tumekwisha ka mpaka vibaka wanasema sikuhizi mbele za watu!!
 
Aaahh! Kumbe Ulimboka mnamdanganya yeye wakati nyie mnaogopa?!!! Woga wa kijinga kabisa! Watakuja watu kuchukua mke wako, kisa askari watamla mbele yako!
Chiume Kamese



Unauliza jibu kaka! Huoni kuna mantiki ya kwa nini asilimia kubwa ya wachangiaji kwenye jukwaa hili hawataki kutumia majina yao? Kama waliodiriki kusimama kupigania haki zao waziwazi kama kina Ulimboka, hatima yao ndiyo kama hiyo ya tunayoijdili hivi sasa, jee cha kukushangaza sana hadi uje na hoja yako hapo juu ni nini?

Kwa mtaji ya yaliyomkuta Ulimboka hivi majuzi, jee bado tu huelewi kwa nini Wananchi wa Kawaida wanaogopa kutumia majina yao halisi humu ndani, zaidi ya Wanasiasa wachache wanaoheshimiwa na kulindwa kama wewe mwenyewe?
 
Andrews,
Ahsante sana kwa swali lako zuri! Lakini niwie radhi kabla sijalijibu nieleze yafuatayo.
Natambua sana ni kwa kiasi gani wasioipenda CCM wanavyonichukia wakiamini kuwa uwepo wangu na juhudi zangu ni sehemu ya vikwazo vikubwa vya hicho wanachokitaka kitokee kwa CCM kutotokea! Hili sina msaada kwao! Hivyo kwa hili nawaruhusu na kwakweli wana haki ya kunitukana watakavyo!Ndo maana pamoja na matusi yote , kejeli zote humu ndani hazinifanye niichukie hii forum au niwachukie wachangiaji kwani wana uhuru wa kusema watakalo. Sana sana ninawazidi ujasiri kwani wao wote wanaotukana hakuna anayethubutu kuingia kwa jina lake halisi, wote wameficha majina yao na ID zao halisi...SITISHWI WALA KUBABAISHWA NA VIVULI VYA WATU!!

Swala la madaktari!!
Sijahoji hata kidogo, wala sitahoji hata kidogo taaluma yoyote acha udaktari, taaluma yeyote hata yako, sihoji!!! Si kazi yangu, wapo waliopewa kazi hiyo!!kama we umechakachua ya kwako basi tuache tuliokaa darasani tukasota mpaka kufika hapa tulipo fika. NIMESOMA HILI SILIONEI HAYA, MAANA NIMESOMA SI KWA KUBAHATISHA, na kwakweli elimu ndio urithi pekee imara alioniachia marehemu babaangu.

Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI WAO WAKASOMA MPAKA KUFIKA HAPO? JE INGEKUWA NI WAZAZI WAO KWA MFANO BABA AU MAMAAKO WAKO TAYARI WAWAFIE MIKONONI KISA KUNA MASILAHI WANADAI KWA SERIKALI??
Naomba ifahamike wazi hapa mimi sipingi wao kudai haki/masilahi zaidi, sipingi hata kidogo, ninachohoji ni njia waliyotumia ndio njia pekee?/

MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.

sasa nape kama unavyo ijua serikali yako bila kufanya mgomo hawawezi kutekeleza hata kidogo, je swala la serikali kwenda mahakamani ndio suluhu ya matatizo ya madaktari?

Nape lazima hukubali kuwa wabunge wanaonekana bora kuliko madaktari wetu ambao wanalinda afya zetu, wabunge hawaitaji mgomo kupandishiwa mishahara na posho jaribu kufikiri!

Kwa swala dr ulimboka nape unaonaje kukubaliana na hoja ya kwamba lazima kuundwa tume huru ili kujua ukweli na uongo, mimi ndio naona suluhu.

Mimi binafsi naona serikali ndio mtuhumiwa mkuu hapa,swala la mtuhumiwa kujichunguza ni la kitoto tunahitaji tume huru kujua ukweli ata kama wewe au mimi tuna husika ukweli ujulikane.
 
Back
Top Bottom