Hivi pombe aina ya "mbege" huwa inatengenezwaje!

mbege ya kibosho ni hatare, pombe pekee ya kienyeji ambayo ninatamani kuinywa hata sasa
 
Mbege ni habari nyingine kabisa kaa mbali...kwanza sio pombe mbege ni chakula na kinarutubisha mwili na akili
 
Hatariiii kitu ya Mbege kwenye kataa, chibuku pale njia panda ya kibosho, mula, kwa sadala, kule Uru kishumundu ile kilabu pale moshi mjini kenyata Street daaah ni noooma
 
Kwa mama kubwa jombaaa unajivinjari na Mamsapu halafu inapigwa Ngoma ya lucky dude weeee utafurah mwenyewe
 
Nafikiri mmeulizwa inatengenezwaje.......mnakuwa kama bwana mkubwa mnaulizwa swali mnaanza toa hotuba!
 
Ndizi-mnyeng'edhe, inguve/kimalindi,mhoyo,kibungara..
Kimea-unga wa ulezi ulioteshwa
-Ndizi zinachanjwa kuondoa utomvu na kuwekwa darini( kali) siku 5-7 ili ziive
-Ndizi zinamenywa na kupikwa hadi ziwe na rangi ya pink iliyokoa kuonyesha zimeiva
-Zinahifanyiwa kwenye pipa na unatanguliza mseseve/mokuta kesho yake zinawekwa maji kulingana na kiasi (iibadha)na siku ya 3 inakamuliwa (itambwa na stage hii inaitwa ktambwa/kfuuve) na ina sukari,halafu inawekwa kimea kilichopikwa ili ichachuke tayari kwa kunywewa kesho yake
-Maji yanapokuwa mengi wakati wa kuikamua ndo pombe nayo inakuwa nyepesi na wingi wa unga pia unafanya pombe inakuwa nzito na wingi wa sambo(layer ya mbege kwa juu)
-Wengine wanapenda kunywa kuongeza unga Mbichi/ulopikwa(ifoya) wengine hawapendi
-Kuna sehemu nyingine wanakamua na kunywa siku hiyo hiyo...hii sio mbege original...lazima iwe imechachuka na iwe na stimu kiasi chake
 
Weweeee nani kakwambia mbege ni pombe mangi?hii ni chakula bwana ndo maana hadi watoto wanaonjeshwa
Kweli mkuu ila sio kama hawa
1481277520823.jpg
 
Ndizi-mnyeng'edhe, inguve/kimalindi,mhoyo,kibungara..
Kimea-unga wa ulezi ulioteshwa
-Ndizi zinachanjwa kuondoa utomvu na kuwekwa darini( kali) siku 5-7 ili ziive
-Ndizi zinamenywa na kupikwa hadi ziwe na rangi ya pink iliyokoa kuonyesha zimeiva
-Zinahifanyiwa kwenye pipa na unatanguliza mseseve/mokuta kesho yake zinawekwa maji kulingana na kiasi (iibadha)na siku ya 3 inakamuliwa (itambwa na stage hii inaitwa ktambwa/kfuuve) na ina sukari,halafu inawekwa kimea kilichopikwa ili ichachuke tayari kwa kunywewa kesho yake
-Maji yanapokuwa mengi wakati wa kuikamua ndo pombe nayo inakuwa nyepesi na wingi wa unga pia unafanya pombe inakuwa nzito na wingi wa sambo(layer ya mbege kwa juu)
-Wengine wanapenda kunywa kuongeza unga Mbichi/ulopikwa(ifoya) wengine hawapendi
-Kuna sehemu nyingine wanakamua na kunywa siku hiyo hiyo...hii sio mbege original...lazima iwe imechachuka na iwe na stimu kiasi chake
Duuu kumbe ni hivyo
 
Ndizi-mnyeng'edhe, inguve/kimalindi,mhoyo,kibungara..
Kimea-unga wa ulezi ulioteshwa
-Ndizi zinachanjwa kuondoa utomvu na kuwekwa darini( kali) siku 5-7 ili ziive
-Ndizi zinamenywa na kupikwa hadi ziwe na rangi ya pink iliyokoa kuonyesha zimeiva
-Zinahifanyiwa kwenye pipa na unatanguliza mseseve/mokuta kesho yake zinawekwa maji kulingana na kiasi (iibadha)na siku ya 3 inakamuliwa (itambwa na stage hii inaitwa ktambwa/kfuuve) na ina sukari,halafu inawekwa kimea kilichopikwa ili ichachuke tayari kwa kunywewa kesho yake
-Maji yanapokuwa mengi wakati wa kuikamua ndo pombe nayo inakuwa nyepesi na wingi wa unga pia unafanya pombe inakuwa nzito na wingi wa sambo(layer ya mbege kwa juu)
-Wengine wanapenda kunywa kuongeza unga Mbichi/ulopikwa(ifoya) wengine hawapendi
-Kuna sehemu nyingine wanakamua na kunywa siku hiyo hiyo...hii sio mbege original...lazima iwe imechachuka na iwe na stimu kiasi chake
wamaa piu mmeku... shaa! Kosha mangi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom