Hivi pombe aina ya "mbege" huwa inatengenezwaje!

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,795
1475499526879.jpg
 
Sikumbuki jinsi ya kupika ila nakumbuka viungo vya kutengeneza mbege.
1. Unga wa ulezi
2.Ndizi mbivu
 
Inatumika mchanganyiko wa ndizi, ulenzi na mti wa ISESEWE kwa wachaga wanalijua hususani huyo sweet mangi hapo nikki wa pili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom