PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Nina Mashaka sana kama tuna Akina dada/wanawake humu ndani ya jamvi. Kuna watu wanajifanya wanawake, na kisha wanaishia kuwazingua akina Chrispin, Masanilo, Nguli, Fidel180, Geoff na Wakware Wengineo waliobobea kwa kupenda Avatars!.
Hebu tazama mabandiko yafuatayo:
Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda
-- Firstlady
na sisi tukitoka nyumba njia nzima tusipoitwa au kutongozwa tyunaenda kwa wanganga kwa nini? usiposemesha na mwananume ukirudi unajiangali una kasoro gani?jamani hata bibilia imesema kuwa mwanamke ni pambo hivyo hakuna jinsi inabidi tukubali yatokanayo tu.
Kwakuwa usipotongozwa utasema unagundu,
Usiposemeshwa na mwanaume itabidi ujiangalie kwenye kiooo
Why?????kwa nini?twawasingizia wanaume kuwa ndo wasumbufu????
-- Chaku
We! kwa hiyo unataka kuniambia mimi natamani hicho kitovu hata siku moja,nikitokea hapo utashikwa kigugumizi.
--Joyceline
Kuna wengine kibao kama akina Maria Roza, VeraCity, Pretty, WoS, Nyamayao, Agika, Msindima etc, ambao mimi binafsi nina`doubt sana ujinsia wao, japo wameamua kujitambulisha kuwa wao ni -ke!
Kama akina dada mpo, basi mnisamehe,... tucheke tunenepe, wikiendi hii jamani, lol!
Hebu tazama mabandiko yafuatayo:
Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda
-- Firstlady
na sisi tukitoka nyumba njia nzima tusipoitwa au kutongozwa tyunaenda kwa wanganga kwa nini? usiposemesha na mwananume ukirudi unajiangali una kasoro gani?jamani hata bibilia imesema kuwa mwanamke ni pambo hivyo hakuna jinsi inabidi tukubali yatokanayo tu.
Kwakuwa usipotongozwa utasema unagundu,
Usiposemeshwa na mwanaume itabidi ujiangalie kwenye kiooo
Why?????kwa nini?twawasingizia wanaume kuwa ndo wasumbufu????
-- Chaku
We! kwa hiyo unataka kuniambia mimi natamani hicho kitovu hata siku moja,nikitokea hapo utashikwa kigugumizi.
--Joyceline
Kuna wengine kibao kama akina Maria Roza, VeraCity, Pretty, WoS, Nyamayao, Agika, Msindima etc, ambao mimi binafsi nina`doubt sana ujinsia wao, japo wameamua kujitambulisha kuwa wao ni -ke!
Kama akina dada mpo, basi mnisamehe,... tucheke tunenepe, wikiendi hii jamani, lol!