Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,893
Yaani mwenzenu leo kuna kadada kamenikera sana kanajiona kuharibu ndoa ya mwenzake . Sijui yeye ninani kamfuata mwenzake kazini nakumtafuta uchokozi.
Na akahakikisha atamchukua mume na watoto na hana chakumfanya hata iweje, na kamwambia either uiche ndoa yako mwenyewe au nikuue jamani.
Hivi mtu akiwa mchepuko nguvu alionayo ni ipi?? Inatesa sana . Mtu anakuhakikishia atachukua kila kitu, hata kama ina mbidi amtoe uhai jamani dunia haishi kuwa na mume hadi uwe unaua mke wa mtu kweli hivi nyie michepuko mnajiona nani kwani.
Hamjakutana na vichwa vilivyoungua kweli mnakera
Na akahakikisha atamchukua mume na watoto na hana chakumfanya hata iweje, na kamwambia either uiche ndoa yako mwenyewe au nikuue jamani.
Hivi mtu akiwa mchepuko nguvu alionayo ni ipi?? Inatesa sana . Mtu anakuhakikishia atachukua kila kitu, hata kama ina mbidi amtoe uhai jamani dunia haishi kuwa na mume hadi uwe unaua mke wa mtu kweli hivi nyie michepuko mnajiona nani kwani.
Hamjakutana na vichwa vilivyoungua kweli mnakera