Dah siku hizi naona trend ya watu kutembelea profile yangu imekuwa kubwa! Hivi tangu nimebadilisha jina nimekuwa maarufu eeh?
wapi huko wanakokutembelea?
unywaji wa pombe kupitiliza ni hatari kwa afya yako..
dah!unamtembelea mwenzio wakati amelewa chakal hajitambui.....teh,teh,
Dah siku hizi naona trend ya watu kutembelea profile yangu imekuwa kubwa! Hivi tangu nimebadilisha jina nimekuwa maarufu eeh?
mkuu me niliamua kuonesha msisitizo wa kukutembelea mpaka msm bt ukantosa. ama ndo unalipiza ambavo tulikutosa ulivokuja mza. bt ni majukumu yalibana...
Dah siku hizi naona trend ya watu kutembelea profile yangu imekuwa kubwa! Hivi tangu nimebadilisha jina nimekuwa maarufu eeh?
Mi sikukutosa jamani, nililala nikaamka muda wa mpira si ndio nimeangalia mpira mpaka late night sijawasha ka laptop wala sikutizama simu. I will make it up to u i promise, [MENTION]chaminglady[/MENTION]mkuu me niliamua kuonesha msisitizo wa kukutembelea mpaka msm bt ukantosa. ama ndo unalipiza ambavo tulikutosa ulivokuja mza. bt ni majukumu yalibana...
He! Kumbe mmefika huko?
mi cna mda wa kuzulula kwenye profle za watu, pm zinatosha bnah.. vp kikao, nije au??
Mi sikukutosa jamani, nililala nikaamka muda wa mpira si ndio nimeangalia mpira mpaka late night sijawasha ka laptop wala sikutizama simu. I will make it up to u i promise, [MENTION]chaminglady[/MENTION]
hahaa,mbna washangaa?