Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
WanaJF,
Nimejaribu kujikumbusha ili nione kama kuna lolote la maana ninaloweza kumsifu jk kwamba ametekeleza katika kuwaletea wananchi wake maendelo lakini mpaka naandika thread hii bado sijapata. Labda wazee mnisaidie.
Nimejaribu kujikumbusha ili nione kama kuna lolote la maana ninaloweza kumsifu jk kwamba ametekeleza katika kuwaletea wananchi wake maendelo lakini mpaka naandika thread hii bado sijapata. Labda wazee mnisaidie.