masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Wana Jamii.
Mimeshangazwa na kauli ya katibu Mkuu wa CCM Mwl. Luteni Makamba ya kwamba hakuna picha za Ikulu katika mabango, hivi haoni ama anafanya kusudi,pale karibu na ofisi ya Tigo pana bango la Taifa Stars na JK mpaka nembo ya Taifa imeonekana, wacha hilo nijuavyo mimi picha zote anazopiga Raisi ni za Ikulu na hata ikitolewa na gazeti lolote lazima iandikwe kwa hisani ya Ikulu, na hayo mabango yaandikwe picha kwa hisani ya wapi?
Mimeshangazwa na kauli ya katibu Mkuu wa CCM Mwl. Luteni Makamba ya kwamba hakuna picha za Ikulu katika mabango, hivi haoni ama anafanya kusudi,pale karibu na ofisi ya Tigo pana bango la Taifa Stars na JK mpaka nembo ya Taifa imeonekana, wacha hilo nijuavyo mimi picha zote anazopiga Raisi ni za Ikulu na hata ikitolewa na gazeti lolote lazima iandikwe kwa hisani ya Ikulu, na hayo mabango yaandikwe picha kwa hisani ya wapi?