Hivi ni kweli ananipenda?

umesoma seminary nin?

maana umekosa elimu ya kitaa/bording school zile zisizo za seminary
 
hahaha yani stori nyingine unaishia kucheka tu,,,sasa mleta thread ulifanya juhudi gan baada yakugundua haujamridhisha?,,,coz ata kama ilikua first time ila ukimaliza round ya kwanza it is obvious after few minutes utahitaji tena,,,,kama ulishindwa kufanya ivo una matatzo.. kamuone dr huhu
 
Umejuaje hujamtosheleza na ndo mara yako ya kwanza?Kwani ungemtosheleza nini kingetokea?!Hizi stori za kutunga pelekeni fb na mkiacha kukaa hostel sidhani ka mtakua mnajiunga na bundle.
 
Back
Top Bottom