Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,536
- 220,262
Bali Ali Hassan Mwinyi hakuwahi kuchaguliwa na Wazanzibar , alipachikwa tu na Nyerere , tena kwa vikao vya DodomaMbona hujiulizi Mwinyi Kutoka Bara alikuwa Rais Zanzibar?
Bali Ali Hassan Mwinyi hakuwahi kuchaguliwa na Wazanzibar , alipachikwa tu na Nyerere , tena kwa vikao vya DodomaMbona hujiulizi Mwinyi Kutoka Bara alikuwa Rais Zanzibar?
Nimekaa pale nausubiria.Tutaifufua baada ya muda mfupi sana !
Marais wanahubiri dini?Hapo vip!
Hili swali nimekuwa nikijiuliza muda mrefu pasipo kupata jibu kwa sababu zifuatazo.
Tanzania maana yake ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo mtu yeyote kutoka pande yeyote anahaki ya kuwa mtawala.
Kinachonishangaza na kunipa maswali mengi.
Mbona Rais wa Tanzania anaweza kutokea Zanzibar au akawa muislamu mfani Mwinyi, Kikwete na Samia (Tanganyika)
Lakini hajawahi kutoka Rais Mkristo kutoka bara akatawala Zanzibar au Zanzibar serikali yake ni ya kidini?
Sio wanajiona. Ni nchi kamili Tanganyika mwaka 64 waliungana na Zanzibar sio Tabora wala songea!WEWE NDO UNAJUA ZANZIBAR NI SEHEM YA TANZANIA
WALE WAZAWA WA KULE WANAJIONA WAO NI NCHI KAMILI
Usisahau pia kuwa CCM haikuwahi shinda uchaguzi wowote znz tangu uhuru.Bali Ali Hassan Mwinyi hakuwahi kuchaguliwa na Wazanzibar , alipachikwa tu na Nyerere , tena kwa vikao vya Dodoma
Rais mkisto anatakiwa atawala zanzibar ili anyooshe mapito..pale watu kama wapo jehenamUnafukua makaburi kwa viganja.?
Tena washilamu getegetee!Hiiiiii yaaayaaa!😂😂😂😂WEWE NDO UNAJUA ZANZIBAR NI SEHEM YA TANZANIA
WALE WAZAWA WA KULE WANAJIONA WAO NI NCHI KAMILI
Waswahili bhana...wanasema wao ni sehemu ya Oman😀😀..Mkristo anatakiwa atawale pale ni swala la muda tuTena washilamu getegetee!Hiiiiii yaaayaaa!😂😂😂😂
Hawahawa manamba wa kiha kutoka Kigoma na Burundi wanajiita waarabu wa Oman?Hell nooo!It's purely fake news!Waswahili bhana...wanasema wao ni sehemu ya Oman😀😀..Mkristo anatakiwa atawale pale ni swala la muda tu
Huwa mimi wazanzibari na waona kama ni waafrika wanaokana asili yao kwa kuleweshwa dini ya kiharabu..Na infact hata hao waarabu hawawapendi hawa jamaa ila wazenchi wanajipendekeza kwa nguvu..mfano tu kwenye kombe la Dunia juzi Morocco ilipotinga nusu fainali wakasema huo ushindi ni kwa waarabu wote.Sasa hawa wazanzibari ni weusi sijui ni waarabu wa wap?Ignorance inawazalilisha waafrika sana.Hawahawa manamba wa kiha kutoka Kigoma na Burundi wanajiita waarabu wa Oman?Hell nooo!It's purely fake news!
Kule Oman bhana wewe!!!!!WEWE NDO UNAJUA ZANZIBAR NI SEHEM YA TANZANIA
WALE WAZAWA WA KULE WANAJIONA WAO NI NCHI KAMILI
Du hivi hajui kimatumbi ? Maandishi yamemvua gauni kabaki uchi. Naunga mkono kama kamasi alizishibaHukufundishwa 'an onion, an aeroplane..' darasa la tatu!?.. yaani umeandika kiingereza nijue umepita shule!?..well ulienda kunywa kamasi tu shule, kiingereza kichafu!!..hata ndani ya jibu langu hukuona jawabu la issue yako
Mbona hujiulizi Mwinyi Kutoka Bara alikuwa Rais Zanzibar?
Mkuranga ni Zanzibar?Mwinyi sio wa bara,acha uswahili wa maji taka
Lengo la nyerere ilikuwa ni kuwa Serikali moja tu alikuwa kamaliza Tanganyika akawa yupo mbioni kumaliza ya Zanzibar ili kusiwe na baraza la wawakilishi kuwe na bunge moja Serikali moja, karume akamgeuka ndipo wenye Nchi yao wakafanya yao lakini ikashindikana Zanzibar kumezwa na bara hadi sasa wao ni wajanja kuliko Tanganyika kwani cha Zanzibar ni chao wenyewe mfano bunge lao SERIKALI yao Bendera yao na vikosi vyao vya akina KMKM na vinginevyo, Cha Tanganyika bara ni cha wote ndiyo maana wabunge wa Zanzibar huingia Bungeni Dodoma, lakini wabunge wa Tanganyika ni marufuku kukanyaga Bunge la Wakilisha Zanzibar, mpaka sasa matokeo ni Zanzibar 3 -0 Tanganyika, wanaendelea kufaidi matunda ya muungano kuliko TanganyikaNimegundua vijana wengi hawajui aina na muundo wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar.
Hata hivyo wa kulaumiwa ni Nyerere hakutakiwa kuvunja serikali ya Tanganyika bali ilitakiwa kuwe na serikali tatu lakini alifikiri kwa muundo wa serikali mbili tungekuwa watawala wa Zanzibar daima lakini leo tunatawaliwa sisi! Ujanja mwingi mbele kiza.
Ally Hassan mwinyi ni mzaliwa wa mkuranga kiasiliaMkuranga ni Zanzibar?
Labda kwenye ramani za wakoloni kabla haijaweka mipaka😃😃😃
Cha Zanzibar ni chao wenyewe lakini cha Tanganyika ni chao woteMwinyi sio wa bara,acha uswahili wa maji taka