MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Ndugu wanaJF kunadhana inapofikia kwenda kutambulishwa ukwen wanaume weng huwa wanapga chenga suala hili la kwenda kutambulishwa kwa wazaz au jamaa wa huyu mwanamke hv ni nini haswa kinachopelekea mpaka haya yote yanatokea au kunasababu zip mpka kupga chenga uwe umekaa nae mwanamke kwa muda au upo nae kwny mahusiano kwa muda ni nini haswa kinachokupelekea ukwepe utambulisho?