Mwanongwa
Senior Member
- Feb 15, 2023
- 169
- 198
Habari wana jamii,hongereni kwa kuweza kuvuka mwaka salama.
Nina rafiki yangu wa kike anafanya kazi jijini Dodoma ameolewa na jamaa mmoja wa mkoani Mara, mahusiano yao yalikuwa good sana mwanzoni ila baada ya tu ya mwanamke kuzaa watoto wawili jamaa amebadirika sana.
Anamtolea mke wake maneno makali sana huku akimwambia kuwa mpaka kufikia pale hana ujanja maana hawezi kupata mume mwingine ambaye atakubari kulea watoto wawili.
Jamaa anaondoka home kama hajaacha mtu vile hatoi pesa wala nini.
Dada huyu amefika mwisho anaona bora kurudi kwao,Mpeni ushauri wana jamii
Nina rafiki yangu wa kike anafanya kazi jijini Dodoma ameolewa na jamaa mmoja wa mkoani Mara, mahusiano yao yalikuwa good sana mwanzoni ila baada ya tu ya mwanamke kuzaa watoto wawili jamaa amebadirika sana.
Anamtolea mke wake maneno makali sana huku akimwambia kuwa mpaka kufikia pale hana ujanja maana hawezi kupata mume mwingine ambaye atakubari kulea watoto wawili.
Jamaa anaondoka home kama hajaacha mtu vile hatoi pesa wala nini.
Dada huyu amefika mwisho anaona bora kurudi kwao,Mpeni ushauri wana jamii