Haihitaji kujua hesabu, tumia fomula niliyoweka hapo kwenye link. Halafu kuna vingi vya kujifunza hapa zaidi ya hiyo hesabu moja.
Kiddo, if you think the mar in your computations doesn't affect and nullify your advice then you are a long way from home. Hiyo computation ndio foundation ya argument yako na advice yako, na ina makosa. Go find something to do. Sio unapoteza muda hapa trying to give people advice ya vitu ambavyo hata wewe mwenyewe huelewi.