AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Hivi ndivyo Taifa Stars ilivyokufa kiume Nigeria
lakini mkuu unaposema hivyo sio sawa,kwanza jua tumecheza na moja ya timu bora afrika,inayoshika nafasi katika timu kumi bora afrika,kutufunga goli moja tena kwa shida kiasi hii hii inaleta maana kubwa sana kwetuhaya ndio maneno yanayotufanya tubaki tulipo kila siku. Kujipa moyo kusipo na mantiki kunatulemaza, hakuna cha kufa kiume wala nini tumeshafungwa turudi tujitathimini upya tujipange kwa mengineyo. Bongo kandanda linachezwa kwenye magazeti kuliko uwanjani
YUKO MAN CITY HUYO,LAKINI GUARDIOLA AMTUMIAGIGoli zuri kabisa. Huyu dogo yuko vizuri!
Yes, namfahamu vyema. Hata last season alikuwa anacheza zingine ndogo, au Aguero akipumzika/kuumia. Ni mmoja ya vijana Afrika wenye vision ya goli.YUKO MAN CITY HUYO,LAKINI GUARDIOLA AMTUMIAGI
Hamna mkuu kwani tulistahili kucheza na vibonde? hayo maneno yanatulemaza sana. Mi naona tuache kucheza mpira kwenye media tufanye kweli na tuache usanii. Taifa kama taifa hatujawahi kufika rank za juu alafu tuseme tumekufa kiume? Wao kama wao unasema ni team bora kwan wao wana nini walichonacho sisi hatuna kama ni wanaume na sisi ni wanaume pia. Tatizo hatuko kiprofessional hata kidogo mkuu.lakini mkuu unaposema hivyo sio sawa,kwanza jua tumecheza na moja ya timu bora afrika,inayoshika nafasi katika timu kumi bora afrika,kutufunga goli moja tena kwa shida kiasi hii hii inaleta maana kubwa sana kwetu
UMESEMA VEMA BOSSI,ILA KUMBUKA HATA WEWE UKIPIGANA NA JITU LENYE MIRABA MINNE,UKALITINGISHA AU UKAMPA WAKATI MGUMU,PAMOJA NA KUWA ATAKUPIGA LAKINI STILL UTAJIPA SIFA KWA KUMSUMBUAHamna mkuu kwani tulistahili kucheza na vibonde? hayo maneno yanatulemaza sana. Mi naona tuache kucheza mpira kwenye media tufanye kweli na tuache usanii. Taifa kama taifa hatujawahi kufika rank za juu alafu tuseme tumekufa kiume? Wao kama wao unasema ni team bora kwan wao wana nini walichonacho sisi hatuna kama ni wanaume na sisi ni wanaume pia. Tatizo hatuko kiprofessional hata kidogo mkuu.
Kila siku kufa kiume hatuwezi tu tubadilike kufa ni kufa tu.lakini mkuu unaposema hivyo sio sawa,kwanza jua tumecheza na moja ya timu bora afrika,inayoshika nafasi katika timu kumi bora afrika,kutufunga goli moja tena kwa shida kiasi hii hii inaleta maana kubwa sana kwetu
unajua mkuu kujifariji ni heri kuliko kujikatisha tamaa,yani wewe ukifanya jambo ukashindwa na ukajiambia umeshindwa kabiosa utakata tamaa ya kutaka kurudia tena na tenaKila siku kufa kiume hatuwezi tu tubadilike kufa ni kufa tu.
haa haa nimefurahia mfano wako mkuu, yah of course sifa kidogo hahiepukiki lakini tumjambishe tembo kabisa hata iwe kumtoa samadi kabisa.UMESEMA VEMA BOSSI,ILA KUMBUKA HATA WEWE UKIPIGANA NA JITU LENYE MIRABA MINNE,UKALITINGISHA AU UKAMPA WAKATI MGUMU,PAMOJA NA KUWA ATAKUPIGA LAKINI STILL UTAJIPA SIFA KWA KUMSUMBUA
Hivi ndivyo Taifa Stars ilivyokufa kiume Nigeria
MAAMUZI GANI AT?Bila muhaya kufanya maamuzi ya K.I.N.Y.E.G.E.N.Y.E.G.E kumfukuza polsen,leo tungdakua tnaongea mengne,nigeria wasingepata sare dar wala mwarabu asingetufunga kijinga,walimu wa ndani hawawezi
Shida ni kwamba kwa sasa hakuna timu laini utapangiwa mchanganyiko, tusipoweza kuifunga timu ngumu hata moja basi tutaendelea kujifariji tu.unajua mkuu kujifariji ni heri kuliko kujikatisha tamaa,yani wewe ukifanya jambo ukashindwa na ukajiambia umeshindwa kabiosa utakata tamaa ya kutaka kurudia tena na tena