mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,708
Kila mtu atumie njia zake kupambana yaani washindwe kuwashangaa Italy na Spain ambao wamefungia watu ndani lakini daily wanazika watu 700+ waje kutushangaa Tanzania ambao tukifungiwa ndani tu kwa siku moja tunakufa kwa njaa wala sio corona.
Sent using Jamii Forums mobile app