mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,141
- 3,452
kwakweli hata mimi hilo suala linanikera sana, yaani ndani mna samaki, kuku, pweza, harage sukari, unga, mchele na mboga zote ndani ya friji, na ukimjibu pika chochote atakuambia chochote ndo chakula gani. Na pia unaweza mwambia pika mchicha, unarudi kazi unakuta matembele.