Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,383
- 105,876
Anataka kura yako katika uchaguzi wa kipi kipikwe."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Ili asipike kidikteta na kukulisha vitu kwa "amri kutoka juu".
Tatizo umenunua vitu vingi tofauti.
Ungekuwa umenunua unga na dagaa tu, kungekuwa hakuna swali la nini cha kupika.