Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
UKAWA wanepata 25% na wanatamba kupita kiasi eti kuwa walikuwa na kidogo kwa sasa wamekwenda juu mno, wanaenda mbali kiasi cha kuamini kuwa 2015 njia ya kuingia Ikulu ni nyeupe, je hiyo ni sahihi? je mwenye 75% asemeje? eti tu kwa vile kapunguziwa kutoka 90.kadhaa alizokuwa nazo awali. Haya wana JF hususan wana Ukawa toeni majibu ya kuridhisha ktk hili ili wananchi tusiwakimbie ghafla.