genious wa kijiji
Senior Member
- May 1, 2014
- 173
- 248
- Thread starter
- #21
Naomba mbinu mkuu
udalali nao unahitaji mtaji?
udalali nao unahitaji mtaji?
Omba kwa Mama ako.
25 mbona wewe una afadhali sana. Uliza vizuri sababu kuna vijana wa umri wa miaka 30 32 34,35, 36 na 40 nawafahamu hadi leo wapo kwao na wanaishi maisha ya kubangaiza.Mtu una umri wa miaka 25.
Mtu umeishia form four na ulifeli vibaya mno.
Mtu huna ajira wala kazi yoyote wala mtaji tuseme unaweza kujiajiri na huna connection yoyote.
Mtu unaona kabisa umri wa kuoa umefika ila huna hela huna kazi na hata future wife huna.
Mtu huna hela mfukoni. Huna marafiki au ndugu tuseme wakukopeshe au wakusaidie.
Mtu ulichonacho ni smartphone ya laki moja na nguo chache tu. Mtu unakaa kwenu hadi leo.
Jamani jaman mtu wa hivi utatoka lini kimaisha au ndo basi tena?
Wenzangu mliokuwa kwenye hali kama yangu mlifanikiwaje??
Sio bro mim.Simu siuzi bro. Alternative?
Tufundishe....me pia mhangaMkuu nitafute nikufundishe jinsi yakuanzisha na kuendesha Social Media Marketing Agency.
Are you ready?
Hauhitaji mtaji. Ni wewe tu na bundle zako na kufahamu jinsi yakuanza kwa usahihi.
Mkuu, ili upate pesa inabidi ufanye kazi inayoongeza value kwenye biashara au maisha ya watu.
Na mimi nitakufundisha hivyo.
Acha kushangaa take advantage Social Media imetoa.
Hahahaahahahahahcha msingi hapo ni kuwa mwizi tuu
25 mbona wewe una afadhali sana. Uliza vizuri sababu kuna vijana wa umri wa miaka 30 32 34,35, 36 na 40 nawafahamu hadi leo wapo kwao na wanaishi maisha ya kubangaiza.
Chagua kitu kimoja unachokipenda/ kupendelea kukifanya na moyo wako unakuwa na Amani kisha kifanye kwa juhudi na maarifa zaidi....ng'ang'ana nacho tu mpaka kitaelelewa tu
Kwanza unapaswa kujua unataka kuishi maisha ya mfumo upi.. aina ya maisha unayotaka ndio itakupa jibu unaoa mapema au la, mfano mimi nataka kuishi kama mkulima mdogo kumudu chakula,baiskeli au pikipiki moja,nyumba ndogo ya msonge lazima nitaoa mapema tu baada ya mavuno ya misimu miwili au mitatu. Kama inataka nyumba ya kisasa,gari(mfano harrier) nk itahitajika uwajibikaji mkubwa wa akili kiliko nguvu au nguvu nyingi na akili nyingi ili kutimiza malengo yako kabla ya miaka 40 hususan kama hauna kipaji kikubwa.Jinsi inavyojibadilisha kuendana na kasi ya maisha ndivyo maisha yatakupa pia majibu ya kasi yako.
"Brother uza smartphone fuga kuku wa kisasa" (naimba tu)
Kala Jeremiah - ''WALE WALE''
Sio bro mim.
Hahssss mi nikiwa na 20 age nilikua najiongezea 3 mbele so napambana kama nina miaka 23 wakati ni less inasaidia 25 jione una 28 ndo akil inachangamka
Jinsi ya kutoka kimaisha
-jichangane na watu tofauti(kiwe kitndo cha harak tena waliofanikiwa kam humu jf wapo)
-achana na kamali(biko,beting)turn into forex biz
-ingia mnadani walao uwe na buku 50 hivi location; tandale ,time everyday morn
-hapo kuna nguo nzuri kwa bei nzuri na ni nzuri kusanya uza mtaani upate mtaji zaid
-Think positve usiogope maisha icheke kesho yako kwa maana unaiandaa na haitokusumbua
-maisha hayana huruma nawe usiyaonee huruma wala aibu yanakudhalilisha mchan kweupee
Zubaa yakukate kata funua
0764932021Mkuu nitafute nikufundishe jinsi yakuanzisha na kuendesha Social Media Marketing Agency.
Are you ready?
Hauhitaji mtaji. Ni wewe tu na bundle zako na kufahamu jinsi yakuanza kwa usahihi.
Mkuu, ili upate pesa inabidi ufanye kazi inayoongeza value kwenye biashara au maisha ya watu.
Na mimi nitakufundisha hivyo.
Acha kushangaa take advantage Social Media imetoa.
mtaji usiusubiri aseee...pambana na mtaa kupitia mishemishe za mtaa ikibidi tumia nguvu asee ngosha ila mukichwa ukiwa na lengo taraji kwa mtaji utakaoupata...ukiupata nenda kakamilishe lengo lako ovaNapenda kilimo na biashara lakini shida inakuja hamna mtaji wa kuanzia mkuu
Hahssss mi nikiwa na 20 age nilikua najiongezea 3 mbele so napambana kama nina miaka 23 wakati ni less inasaidia 25 jione una 28 ndo akil inachangamka
Jinsi ya kutoka kimaisha
-jichangane na watu tofauti(kiwe kitndo cha harak tena waliofanikiwa kam humu jf wapo)
-achana na kamali(biko,beting)turn into forex biz
-ingia mnadani walao uwe na buku 50 hivi location; tandale ,time everyday morn
-hapo kuna nguo nzuri kwa bei nzuri na ni nzuri kusanya uza mtaani upate mtaji zaid
-Think positve usiogope maisha icheke kesho yako kwa maana unaiandaa na haitokusumbua
-maisha hayana huruma nawe usiyaonee huruma wala aibu yanakudhalilisha mchan kweupee
Zubaa yakukate kata funua