Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,185
- 3,547
Wadau jana nilipita sehemu nikakutana na mdahalo mzito sana watu wakibishana hivi mtu kama wazili anatakiwa na elimu kuanzia level gani je ni degree,masters,phd....au diploma
awe mshkaji wa rais
Uwe na pHD ya rushwa.
Wadau jana nilipita sehemu nikakutana na mdahalo mzito sana watu wakibishana hivi mtu kama wazili anatakiwa na elimu kuanzia level gani je ni degree,masters,phd....au diploma