Mkuu wala usijali..... Weye huku hapakufai kamwe usije!! tuachie sisi!! mavyakula yooote haya DSM unasema unakula sahani tatu?? huna hela weye!Mzee Paris ni tofauti na dar, khaa leo hii inalinganisha Paris na Dar, hivi nyie watu wadar mpoje
Pale panaitwa ''Full Dose!! .....kuna ile inayo iva polepoleee! kwa joto la oven ya mkaa! safiii! lainii! hakuna wese la maudhi! hata km lipo ni kwa mbaaali halafu limechomeka uzuri eeebana wee!!mkuu kitimoto ya pale mabibo nit tamu sana,