Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
bora kuoa wa kwa mtogole kuliko hawa kina yes yes kibao,lol!
Yeah kuku wa kienyeji wanahusika sana Bishanga hawa wa mboga 7 mimi nilisha nyosha mikono unaletewa mapenzi ya ISIDINGO
bora kuoa wa kwa mtogole kuliko hawa kina yes yes kibao,lol!
Hahahahaha, mbona utamaliza dunia? Umeona kumbe kuongeza mke sio dawa eeh? Manake ingekuwa ni dawa mbona unazidi kuongeza kila siku? Walivyokuwa wawili bado tu hawakukuheshimu? Na wakati walikuwa wanajuana?Ninao wa 4 mwingine naongeza karibia na ramadhani
Hahahahaha, mbona utamaliza dunia? Umeona kumbe kuongeza mke sio dawa eeh? Manake ingekuwa ni dawa mbona unazidi kuongeza kila siku? Walivyokuwa wawili bado tu hawakukuheshimu? Na wakati walikuwa wanajuana?
Mi ndo kidume heshima ipo tena mara dufu sasa hivi mi nadeka nagombaniwa leo nilale kwa mke yupi nagombaniwa kupikiwa msosi
Susy kumwuliza mumeo kwa nini kakujia nyumbani sa 10 za usiku ni mapungufu?? Huyu shemu kakasirishwa pengine hasira anaziangushia kwa Wifi yetu. Mi sikubali bana.
swali. Huyo wa ramadhani unaongeza wa nini?
Wacha niondoke zangu,kawaida huwa nakunywa ndovu,leo ntapiga konyagi iliyochanganywa na amarula kisha ntajua la kufanya. nshachoka mimi.
Unaona anaenda kumnywea Konyagi? Juhud zng zmegonga mwamba aisee, hata siamini.teh teh teh!!!!!!!! hakusubiri nione juhudi zako mama
Si wapike hao wanne?Special kwa ajili ya futari mwezi mtukufu.
Alafu hivi ni kwa nini nyie wanawake kabla ya kuolewa huwa mnakuwa wanyenyekevu sana mkisha fika ndani mnakuchunjua makucha yenu kwa nini hivi?
Si wapike hao wanne?
Alafu hivi ni kwa nini nyie wanawake kabla ya kuolewa huwa mnakuwa wanyenyekevu sana mkisha fika ndani mnakuchunjua makucha yenu kwa nini hivi?
Gold Platinum Point. mimi kwenye hili sredi nitakuwa referee. acha tusubilie wajibuAlafu hivi ni kwa nini nyie wanawake kabla ya kuolewa huwa mnakuwa wanyenyekevu sana mkisha fika ndani mnakuchunjua makucha yenu kwa nini hivi?
utakaona kadada kabla kukaowa, kwenye majambozz kanakulamba mpaka nywele za kwapa, ukishakukaowa, ukitaka denda tu kanajifanya "loooh babu hebu kapige mswaki kwanza unanuka ugoro" . khaaaa! Tumuogopeni mungu jamaniSa tukikunjua makucha kabla ya kuolewa, tutaolewa kweli jamani?
Hee kumbe upo? Yan kdogo nijitoe Jf kwa vile ulipotea ghafla. Huagi? Eti naambiwa ulivyoona MS karudi ukaugua?Gold Platinum Point. mimi kwenye hili sredi nitakuwa referee. acha tusubilie wajibu
utakaona kadada kabla kukaowa, kwenye majambozz kanakulamba mpaka nywele za kwapa, ukishakukaowa, ukitaka denda tu kanajifanya "loooh babu hebu kapige mswaki kwanza unanuka ugoro" . khaaaa! Tumuogopeni mungu jamani
Nilihuzuria Royal Wedding kidogo. Nilishangaa kuona hata William na Kate kumbe wanaielewa JF. wanakusalimieni sana.Hee kumbe upo? Yan kdogo nijitoe Jf kwa vile ulipotea ghafla. Huagi? Eti naambiwa ulivyoona MS karudi ukaugua?
hii ni kusema wanawake ni sawasawa na CCM, kabla uongozi/ndoa ma ahadi kibao, wakishakupata uongozi/ndoa lambada linaanza. dah!hahahahaha. Hiyo yote ni kutengeneza njia ya kumfanya mtu atangaze ndoa. Ukishanioa kapige mswaki. Hutaki?