hahahahahaaaaHawezi kumfukuza kazi, ila anaweza kumuweka ndani masaa 48, akitoka anamuweka tena ndani masaa 48, akitoka anamuweka tena, na tena... Kwa ufupi DC anaweza kumtumikisha kifungo DED kwa muda anaotaka
hahahahahaaaaHawezi kumfukuza kazi, ila anaweza kumuweka ndani masaa 48, akitoka anamuweka tena ndani masaa 48, akitoka anamuweka tena, na tena... Kwa ufupi DC anaweza kumtumikisha kifungo DED kwa muda anaotaka
Kile kicheko cha dharau cha mkurugenzi kitamgharimu mark my words,Mkuu wa wilaya ndie raisi wa wilaya na amiri jeshi mkuu wa wilaya ndio maana askari wa majeshi yote wilayani humpigia saluti mkuu wa wilaya sio mkurugenzi.Ajiandae.Yaani hapo ni sawa na kusema mtendaji wa kata amfute kazi mratibu kata (afisa elim kata kwa sasa) kitu ambacho hakiwezekani, kuwapa mamlaka ya kusimamia usalama wa wilaya watu wahuniwahuni kama akina Muro ambao hawajui ata nini wanatakiwa kufanya kulingana na nafasi zao, madhara yake ndo hayo ya kupandisha mzuka mbele ya media huku akitaman amfukuze kazi yule DED, kitu ambacho ni sawa na kuvunja jiwe kwa ngumi. ndo maana ata DED alicheka kwa dharau mpaka muro akajishtukia kuwa jamaa kamdharau
unapenda maswali ya kichokozi: Refer DC kahamaNafahamu kwamba wote hawa ni wateule wa Rais , lakini inapotokea sintofahamu miongoni mwao Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya anaweza kumuondosha kazini Mkurugenzi wa Wilaya ?
Pichani : Ni kiongozi wa jamhuri isiyofahamika akitangaza majina ya wateule wake mbele ya waandishi wa habari .
Alifanyaje mkuu , weka wazi kwa manufaa ya wengineunapenda maswali ya kichokozi: Refer DC kahama
unadhani mamlaka za juu zitakubaliana na upuuzi wa Jerry kwa vile tu ni DC ?mkuu wa wilaya ana uwezo wa kufukuza kazi ana recommend tu biashara imeaisha ukihurumiwa waweza pelekwa ofisi yeyote ukaenda kusoma magazeti hadi kustaafu.Sijapenda ile arrogance alyoonyesha mkrugenzi bosi akifoka huwezi kucheka.Na ni kosa kuchelewa eneo la shughuli.Yaani kiprotokali mkurugenzi kuchelewa ina maana yeye apokelewe na mkuu wa wilaya !!!! Ilitakiwa yeye mkurugenzi awahi mkuu wa wilaya ndie achelewe.ningekuwa mimi mkuu wa wilaya masaa 24 ndani yangemhusu huyo mkurugenzi na kesho yake ningetamka wazi ama abaki yeye mimi niondoke au afungashwe virago mimi nibaki
Aaah wap, angekuwa mkuu wa mkoa sawa, mkuu wa wilaya hawezi kumwajibisha DED, ukiangalia kosa lenyewe la kawaida sn kiasi cha mtu yeyote kulifanya ata yeye muro anaweza kulifanya, pale busara tu ndo ilitakiwa kutumika hapakuwa na sababu ya muro kufoka mbele ya vyombe vya habari kwa kosa la kipuuzi kama lile, ukizingatia na mkuu wa mkoa alikuwa pale, yaani ni sawa na kwamba waziri amfokee katibu mkuu wa wizara yake mbele ya rais kitu ambacho kwa kiongozi mwenye hekima hawezi kufanya hivyo.Kile kicheko cha dharau cha mkurugenzi kitamgharimu mark my words,Mkuu wa wilaya ndie raisi wa wilaya na amiri jeshi mkuu wa wilaya ndio maana askari wa majeshi yote wilayani humpigia saluti mkuu wa wilaya sio mkurugenzi.Ajiandae.
Hivi Jerry amepata wapi hirizi hadi kuteuliwa DC ? hafai hata kuwa mlinzi wa godown la mkaa .Aaah wap, angekuwa mkuu wa mkoa sawa, mkuu wa wilaya hawezi kumwajibisha DED, ukiangalia kosa lenyewe la kawaida sn kiasi cha mtu yeyote kulifanya ata yeye muro anaweza kulifanya, pale busara tu ndo ilitakiwa kutumika hapakuwa na sababu ya muro kufoka mbele ya vyombe vya habari kwa kosa la kipuuzi kama lile, ukizingatia na mkuu wa mkoa alikuwa pale, yaani ni sawa na kwamba waziri amfokee katibu mkuu wa wizara yake mbele ya rais kitu ambacho kwa kiongozi mwenye hekima hawezi kufanya hivyo.
Kuongoza wilaya/mkoa yampasa kiongozi awe na back ground ya uongozi. Hizi sio nafasi za kufanyia majaribio. Mwalimu aliewahi kupewa ualimu ukuuna akaweza kuiweka sawa staff yake,unaweza kumwamini kuwa aweza kuwa na maadili. Mtu hajawahi kuongoza sehemu yoyote.....usemaji wa club ikumbukwe si uongozi bali ni usema ovyo...sasa mtu huyu kumpa uongozi ni kumuonea. Mi nafikiri asilaumiwe.Baadhi ya viongozi wa awamu ya Tano wanatuaibisha Kama nchi ukiangalia DC muro anavyochemka utadhani gangwe Yuko bar mi nadhani mamlaka zilizowateua ziiwasaidie ethics kupunguza show zao . Mkurugenzi nae ni mtu mkubwa kwa nafasi yake kumfokea mbele ya anaowaongoza sijui Kama ina Afya hata kidogo nadhani kuna namna ya kunyoosheana vidole bila kiwango mbele ya wanaoongozwa
Ha ha ha haaaaaaa acha wajenge viwandaDC gani huyo JerryMurro au?
RCkwa sababu tu hayo ndo mambo anayoyapenda mh. jiwe na ukizingatia wateule wote wa mh. jiwe wanalichukulia jiwe ndo kama role model wao, sasa usishangae jerry muro baada ya wiki kadhaa ni DC somewhere, kwa wenye uelewa na vichaa haitashangaza.
Wabongo bana kila mjinga mjinga ni usalama...Jeri Muro ni usalama yule
Soi kwamba alienda kufnya kazi kwa bhati mbaya tbc alinda kwa kazi maalum
Angalia alipoenda yanga kwa kazi mqalumu uliona kilichofuata kwa manji baada ya yeye kuondoka pale
Jifikilie kesi ya pingu iliishaje kwanini akufungwa na kipindi hicho watu walikuwa wakimtetea
Sitoshamga nikisikia pia arumeru kaondolewa kapelekwa kwingine
PutzKile kicheko cha dharau cha mkurugenzi kitamgharimu mark my words,Mkuu wa wilaya ndie raisi wa wilaya na amiri jeshi mkuu wa wilaya ndio maana askari wa majeshi yote wilayani humpigia saluti mkuu wa wilaya sio mkurugenzi.Ajiandae.
Ndio anaweza lakini kwa awamu hii ya tano tu ambayo hata waliomwimbia kura mkuu wanaisoma namba!Nafahamu kwamba wote hawa ni wateule wa Rais , lakini inapotokea sintofahamu miongoni mwao Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya anaweza kumuondosha kazini Mkurugenzi wa Wilaya ?
Pichani : Ni kiongozi wa jamhuri isiyofahamika akitangaza majina ya wateule wake mbele ya waandishi wa habari .