Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Umenena mkuu ni aibu tena wanaonekana hawakujiandaa na wanchokifanya, lakini pia hawana ushirikiana. Huo Ndo ukweli bila kupepesaBaadhi ya viongozi wa awamu ya Tano wanatuaibisha Kama nchi ukiangalia DC muro anavyochemka utadhani gangwe Yuko bar mi nadhani mamlaka zilizowateua ziiwasaidie ethics kupunguza show zao . Mkurugenzi nae ni mtu mkubwa kwa nafasi yake kumfokea mbele ya anaowaongoza sijui Kama ina Afya hata kidogo nadhani kuna namna ya kunyoosheana vidole bila kiwango mbele ya wanaoongozwa